Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

dadii atakuwa ni mkaka mtu mzima..jaman.kuna majitu yanafatilia na utoto mwingi nyie?mwenzenu had leo hii sina rafiki...yaa asbh nimetoka tumiwameseji manengelo shoga kaa na mumeo sitakutafta tena huyo ni wa4!utadhan tunakaa bar uchi au tumeshika chupi mikonon..au tunakaa vby kias kwamba mamen wanaona chupi chetu tuzovaa... yaan ht ukutwe unakula.kiepe bar na rafiki huyu rafik analo..atasimangwa matusi yt km sio utoto ni nn huo!january naweka tangazo humu la kutafta mwanaume mzee alotaliki au kufiwa mradi tupime! anifanye mkewe!anidekeze !nimechoka mtu unalazimishwa kuishi km mzee bwana!😑😣😏

Hahahahahaa nacheka japo sio mazuri, pole mwaya.

Cha muhimu Kuwa na misimamo yako. Kuna vitu unaweza kufanya sio kuwa unakiuka maadili ya ndoa au una cheat au lolote lile bali unafanya ili akili yako iwe mpya kila leo na kupata akili mpya ya kuendelea na maisha.

Dadii ni zaidi ya kaka mtu mzima, ananijua kila kona ya maisha yangu na tunajuliana namna ya kuenenda kimaisha.

I really adores him, he knows na akipita hapa atasoma.
 
Hahaha unanichekesha manengelo, mtu ushapendeza zako afu Kuna kiumbe kinaanza anza maswali...... Aaagaah

😂😂😂hubby mie amekuwa kituko balaa kwa frnds... ova kachanganyikiwa vile sijui vyuma vya magu?khaa.. inauma sana ufanye starehe kwa hela.zako alafu mwingine aje akutibue bila sababu..imaginr mtu anakukuta umekaa na shost mnapenana machungu ya ndoa anakuambia nyanyuka rudi hom😏..bas umalizie kilaji anakimwaga😏😏😏
 
Hahahahahaa nacheka japo sio mazuri, pole mwaya.

Cha muhimu Kuwa na misimamo yako. Kuna vitu unaweza kufanya sio kuwa unakiuka maadili ya ndoa au una cheat au lolote lile bali unafanya ili akili yako iwe mpya kila leo na kupata akili mpya ya kuendelea na maisha.

Dadii ni zaidi ya kaka mtu mzima, ananijua kila kona ya maisha yangu na tunajuliana namna ya kuenenda kimaisha.

I really adores him, he knows na akipita hapa atasoma.


una raha sana ..nipo hvyo NIkifurahi natoka na wanangu au niwaache lakini ht utoke na watoto asbh anaanza maswali ya kijinga ehe jana mlikua na anko wapi😂😂😂...pumbavu sana !hakunaga kiumbe duniani chenye akili km mwanamke bas tu nashindwaga kumwambia neno POLE! aliwah nikuta bar na dadangu kbs akaniambia unakaa bar na dadako mnaongea nn dadako mwenyrw ndoa ishamshinda😂😂toka pale nikajua nna mgonjwa wa mirembe
 
😂😂😂hubby mie amekuwa kituko balaa kwa frnds... ova kachanganyikiwa vile sijui vyuma vya magu?khaa.. inauma sana ufanye starehe kwa hela.zako alafu mwingine aje akutibue bila sababu..imaginr mtu anakukuta umekaa na shost mnapenana machungu ya ndoa anakuambia nyanyuka rudi hom😏..bas umalizie kilaji anakimwaga😏😏😏

Huko ni kukoseana heshima hasa mbele za watu, amefikia pabaya. Hakuna anayependa kufedheheshwa mbele za watu...

Pole mwaya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hubby mie amekuwa kituko balaa kwa frnds... ova kachanganyikiwa vile sijui vyuma vya magu?khaa.. inauma sana ufanye starehe kwa hela.zako alafu mwingine aje akutibue bila sababu..imaginr mtu anakukuta umekaa na shost mnapenana machungu ya ndoa anakuambia nyanyuka rudi hom[emoji57]..bas umalizie kilaji anakimwaga[emoji57][emoji57][emoji57]
Hahahaha, muelewe tu wanaume hela ikiwa ngumu wanachanganyikiwa
 
Mimi ninakaribia kuzishindwa..mtu analazimisha uishi atakavyo[emoji57][emoji57]hela yako[emoji57][emoji57][emoji57]simu yangu[emoji57][emoji57][emoji57]!kumaaaninaa
Dah...mpe simu yako akae nayo mwezi...nawe chukua ya kwake...mjuane...mtaendana...[emoji41]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie damu yangu nw baridi sina wivu kbs aisee...ila na ww usinichunge chunge kijinga jinga..usinione nacheka na simu unipoke simu kisa natabasamu khaa!utoto sipendi
Mi mangi wa mjini,
Hizo mambo sinaaa,

Ila utaweza kuhimili mapigo?

Habari za kuniambia nimechoka, sijui leo kimoja tu hizo sizitaki....
 
Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Dah....kwenye ndoa...Kuna kuoa...na kuolewa.... usijichanganye ....[emoji41]
 
Duh!

Hivi watu wanawezaje kujifanya maboya?

Ngabu nijifanye boya kisa tu ndoa idumu?

*** that shit.

Where all my jump-offs at???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo inabidi ili ndoa idumu
 
una raha sana ..nipo hvyo NIkifurahi natoka na wanangu au niwaache lakini ht utoke na watoto asbh anaanza maswali ya kijinga ehe jana mlikua na anko wapi😂😂😂...pumbavu sana !hakunaga kiumbe duniani chenye akili km mwanamke bas tu nashindwaga kumwambia neno POLE! aliwah nikuta bar na dadangu kbs akaniambia unakaa bar na dadako mnaongea nn dadako mwenyrw ndoa ishamshinda😂😂toka pale nikajua nna mgonjwa wa mirembe

Kiukweli namshukuru maulana kwa raha anazonitunuku Dadii na raha za asili nilizonazo basi tabasamu halikauki.

Umenichekesha sana hapo kwa mzee kucheki kwa watoto,ati jana mlienda na ammo wapi aaahahahahhahahahahahahaa.

Siku moja mtafute binamu wa mbali uhang nae na watoto, binamu ambae eye mume anamjua ila watoto hawajawahi kutana nae halafu unapiga picha nae na watoto. Kisha watoto unawaambia huyu ni uncle yenu mmesikia.....

Halafu subiria taarifa ya habari kesho yake asubuhi maana watoto watasema tuu, mradi tuu awe hapigi ila kama anapiga wala usifanye huo mzaha.

Natumai mls kadhaa zimekufikia....
 
Back
Top Bottom