Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Labda nikumbushie lile songi la gospo

Huyoooo ni chaguo lakoo chaguo lakoo huyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo ni chaguo lakooooooooooooooooo

shukranii...
 
😂😂
nimecheka,kinachoboa wao kama popo wanamaliza viunga vya bar tu hapo ndo unapotamani kumchemsha mtu supu umnywe na pili pili nyiiingi.
😂ss ww jichanfnye umwambie mume sehem fulan kuna kijiwe kizuri ananuna anajua umeenda na mtu..sijui wanahis hatuwez kujitoa wenyewe😂😍mwisho utaambiwa mwenye bar hii mwathirika 😏
 
Hahahaha ukute na wewe ni mzuri Saana,mpaka mwenzio hajiamini

wakawaida sana sana mwaya... sema nina kabahati kakuangaliwa😊!ss niangaliwe aone aliyeniangalia ht km mmeagiza msos anakuambia twende nyumbani inaonekama ww hpa unakujga sana mbona yulr mwanaume anakuangalia sana!namwambia labda kanifananisha je..anakuambia unajifanya mjuaji eh?😂mtaondoka lazima
 
Kwa lugha nyepesi, wEe nikm Padre ... Ashaurie ndoa, ili hali ya ndoani hayajui !!. Yeye huyajua kupitia Case anazozisikia .
Hili jambo huwa linanisikitisha sana mkuu....
Niliwahi kumwambia faza flani kwamba, haiwezekani yeye awe anasuluhisha ndoa ilhali hajawahi kuingia kwenye ndoa.
It's absolutely impossible..
 
Hili jambo huwa linanisikitisha sana mkuu....
Niliwahi kumwambia faza flani kwamba, haiwezekani yeye awe anasuluhisha ndoa ilhali hajawahi kuingia kwenye ndoa.
It's absolutely impossible..


Alafu wasivyo na adabu anachukua namba zenu wote later anaanza kumtongoza mwanamke😏
 
Siko kwenye hiyo taasisi Ila sitakosa neno la kusema kwa niliyoyashuhudia kwa ndugu na Hamas. Uko humo kwa muda gani?
Kweli k matata mpaka leo hii bado hujaingia kwenye taasisi?
 
uk
hahhaa mie mwenyrw najua kasie hayupo ndoan waliopo ndoan wanajulikana full woga hofu majuto stress kero vurugu mechi ik

kuact unafiki mradi kuchwe..sasa ww kat8 ya haya umeyaona wapi kwa kasie?kasie anajiachiaga balaa..na h8vi age yake ndo raha ya dudu anaifeel bas full raha .its likr pressing yhe button
Mane watie ujinga tu wenzio wkt kila siku wanashinda makanisani na kwa waganga ili mradi tu wasajiliwe kwenye taasisi.
Ila yote kwa yote maendeleo hayana chama.
 
Mane watie ujinga tu wenzio wkt kila siku wanashinda makanisani na kwa waganga ili mradi tu wasajiliwe kwenye taasisi.
Ila yote kwa yote maendeleo hayana chama.

😂😂😂😂✌✌👊u made my morning hapa nacheka kwa nguv😂😂😂😂,acha nitembee kifua mbere
 
Back
Top Bottom