Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Kwajinsi mnavyonitisha na hizo ndoa, ndo nazidi kuongeza sababu ya kutofika hukoo!!!
 
Ukweli ni kuwa wapo wanaofurahia ndoa zao na wamekaa kimya kabisa. Tatizo ni wale wenye ndoa ndoano. Makelele mengi mpaka tunawatisha watoto waiogope ndoa. Changamoto za ndoa zinategemeana na ulipokosea. Swali kubwa ni ulikosea wapi? Na unakosea wapi?
Wanaopiga kelele ni wachache, wenye raha zao wapo Ila wapo pia ambao wana majanga mazito na wamekaa kimya kupretend Kila kitu Kiko sawa
 
Ukweli ni kuwa wapo wanaofurahia ndoa zao na wamekaa kimya kabisa. Tatizo ni wale wenye ndoa ndoano. Makelele mengi mpaka tunawatisha watoto waiogope ndoa. Changamoto za ndoa zinategemeana na ulipokosea. Swali kubwa ni ulikosea wapi? Na unakosea wapi?
Juzi nimetoa thread Nimeshauriwa mpk Nikafarijika, Naona Wanani disappoint tena walaqhii.!!
 
😂😂ya 4 hii..am stable thou nawaza kurudi hom tu hapa..sasa umkute ataanza maswali mbn.umechangamka..mbona umelegea😏😏😏 fyekeleaa mbali

Hahahahahaa maisha ni kuchagua vile unavyoishi....

Nakuja kule nimeona ujumbe.
 
Kasiee,
Wasubiri nini mama?

Abeeeh. Sweet Mangii mambooz.

Lini unapandisha milimani au ushaenda? Babu kaniahidi kihamba upande wa karibu na Mlima, nasubiria makabidhiano Ila sharti lake naona kama linanishindaaa.....

Hiyo taasisi Mie hata siitaki, huu upande niliopo nainjoi sana na nafurahia maisha sitaki kutamani nisije kutenda dhambi.
 
Hahahahah
Mambo ni poa Kasiee....

Huko milimani J3 napandisha,
Nami naenda kukabidhiwa kihamba eti nijenge!!?

Sasa nijenge alafu aishi nani? Wkt Kasie hataki ndoa??

Watajenga wenyewee bhanaa!!

Love you Kasieeee
Abeeeh. Sweet Mangii mambooz.

Lini unapandisha milimani au ushaenda? Babu kaniahidi kihamba upande wa karibu na Mlima, nasubiria makabidhiano Ila sharti lake naona kama linanishindaaa.....

Hiyo taasisi Mie hata siitaki, huu upande niliopo nainjoi sana na nafurahia maisha sitaki kutamani nisije kutenda dhambi.
 
Back
Top Bottom