amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,298
Kamatia hapo hapo hakuna kuachana.As ante...
Najiskia kupaa bila mabawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]#hatuachani
Ukipaa usisahau kunibeba mgongoni.
Kamatia hapo hapo hakuna kuachana.As ante...
Najiskia kupaa bila mabawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]#hatuachani
Sasa muda wote una raha kasura kautamu lazima kaje tuKuna kasura fulani hivi mtu mda wote unakuwa nacho
He hehe ngoja nikamatie kiainaaKamatia hapo hapo hakuna kuachana.
Ukipaa usisahau kunibeba mgongoni.
Tuwaache basi wenye furaha waendelee kufurahia, huu ni uzi wa wote wenye furaha katika mahusiano yao.Hizo moment za Secondary na chuo, Sasa hivi akili yote inawaza Hela yani binti ambaye anajaribu kunipenda na kuwa Serious na Mimi huwa namhurumia sana na tahadhari nampa kuwa Muda wa kucare sina kabisa na wala future na yeye sio lazima ivo kama atataka kuendelea amue tayari akiwa na msimamo wangu , btw kuna manzi amekomaa haswaa mwaka sasa pamoja na vitimbi na kutomjali ila yumo tu ila slay queens baada ya kuwa hit wamepotea, Iyo bibie nikilala huwa namfikria japo sitaki ajue kwamba nimeanza kuonesha interest kwake, Mungu ajalie awe mke tu amenivumilia haswaa
Be positive, halafu let them enjoy the moment. Ujuwe life lina ups na downs nyingi, sio siku zote mnanuniana tu na kugombana, when moments za namna hii zikija wacha watu wajiachie.It will end in tears
wow kama ndo yule jamaa single am really happy for you mamie Maya Angelou all the best may your love last longer and be sweet for the rest of your lives.Ndio huyo,yule kijana single[emoji3]nimefata ushauri wenu nimekuwa serious sasa upande wake
wow kama ndo yule jamaa single am really happy for you mamie Maya Angelou all the best may your love last longer and be sweet for the rest of your lives.
Hatujambo mamii mapenzi yapo Kama kawaida hata naona uvivu kujibu sms za wengine isipokuwa yeye tu, maisha ni mazuri kwa upande wanguMmeamkaje wadau wa mahaba kama yote?
Watu wanabadilika lakini ndo maana ikawepo toba, acha kumtisha mwenzio na kumuonea wivuNajua unajua jamaa ni majisifu flani hivi kuwa makini bidada shogare. Jamaa ni mvunja mioyo anajitilisha huruma kwa namna hiyo ameshapita na wengi jamii. Sikio la kufa endelea kwa kuwa husikii.
Nasubiri omo
Sitajibu lolote msiniulize tafadhali
Asante dia..Hongereni sana, siye wengine mmh
Asikupotezee mdaWatu wanabadilika lakini ndo maana ikawepo toba, acha kumtisha mwenzio na kumuonea wivu