Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,912
- 70,668
Maneno ya wakosaji hayo uko kwenye raiti traki enjoy mamiiKama ananicheat anajichiti mwenyewe...
Nimezama lakini macho na masikio yote juu...
Maneno ya wakosaji hayo uko kwenye raiti traki enjoy mamiiKama ananicheat anajichiti mwenyewe...
Nimezama lakini macho na masikio yote juu...
😂😂😂Kwajinsi penzi letu lilivyokua tamu 😍😍sikifahamu linaweza kuisha kws mtindo ule🤣🤣🤣
Na yule wa kwenye ule Uzi wetu?🤔Hapana dada nipo hapa naelewa hio situation yani najiona kama dunia nzima ipo kiganjani
Kupendwa raha sana
Unatamani upige kelele watu wote wajue [emoji28][emoji28][emoji28]
I know it doesn’t last forever
Lakini kwa wakati huu naenjoy 🥰
But I'm just being hypocriteEndelea kuumia kelele zako hazinizuii Mimi kufanya yangu mkuu,
Huenda ndo huyohuyo [emoji23][emoji4][emoji4]Na yule wa kwenye ule Uzi wetu?[emoji848]
Inaitwa kutesa kwa zamu, ni zamu yako/yangu/yetu kufurahia mapenzi wasiohusika wajifanye Kama hawauoni huu Uzi,Jamani huu uzi ni wa wale tu wanaojisikia kupendwa mda huu kama una uchungu moyoni usipite maana utalia. Hata mm kuna kipindi nilikuwa na uhungu wa kutendwa kiasi kwamba nikiona nyuzi kama hizi nilikuwa napandwa na nyongo
Barikiwa sanaBut I'm just being hypocrite
By the way congrats to you Dr for having a good time with your love..
Let the world understand that love is unexplainable[emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inaitwa kutesa kwa zamu, ni zamu yako/yangu/yetu kufurahia mapenzi wasiohusika wajifanye Kama hawauoni huu Uzi,
Umetupa ujumbe konki sana, yaani ni dedication kali kinoma tukiifata amani na Raha hizi zitaishi kwetu kwa muda mrefu ama wengine milele kabisa
Ndio ndio ni muda wetu wa kujidai huu, sijawahi kusuuzika nafsi kama wakati huu walahi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mawivuuu kama yoteee
Kuna wanaobahatika kuwa deep milele hadi kifo kinapowatenga. We might be the lucky onesNdio ndio ni muda wetu wa kujidai huu, sijawahi kusuuzika nafsi kama wakati huu walahi,
Na yule wa kwenye ule Uzi wetu?[emoji848]
Ndo maana ukibahatisha kanafasi kakupendwa tunajimwambafai Kama hivi💃💃💃True Love ♥️ is something very special and very beautiful, but nowadays it is very difficult to find TRUE LOVE.
Amina na ikawe hivyoKuna wanaobahatika kuwa deep milele (hadi kifo kinapowatenga. We might be the lack ones
Ujue kuna mtu huko juu ameniuliza "so what?" Nkamwangaliaaaa nkabaki nacheka hihihiiiiii (kwa sauti ya JPM)Ndo maana ukibahatisha kanafasi kakupendwa tunajimwambafai Kama hivi[emoji126][emoji126][emoji126]