financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,190
- 43,521
Ameeen, Mungu na awatimizie haja za mioyo yenuAsante dia..
Huwa inatokea tu in a hopeless place
Yani huna hili wala lile unakutana na mtu anakugusa katika mazingira na hali yako
LM aka kipe wangu unizike nikuzike namuomba sana Mungu atupofushe tupendane hadi shetani ashangae
Nami nikimpata ntamwambia maneno kama haya yako😜😍