Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Yaani narenew every now and then [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chapter mupya
Hatari Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenifundisha mbinu.Na mimi nikipata soulmate nitakuwa nafanya renewal ya penzi kila wiki
 
Enjoy Best make sure you show him respect, care and love. Don’t use negative/ harsh words against him, when you made any mistake apologize as soon as possible in order to maintain peace and harmony in your L[emoji813][emoji813]E.
Hapa umeongea kikungwi zaidiiii

ngosha ww ndio mwanaume pekee dunia nzimaaa
C unajua tulivyopatana kwenye kikao chetu??? Tusigeukane baba
 
Hapana dada nipo hapa naelewa hio situation yani najiona kama dunia nzima ipo kiganjani
Kupendwa raha sana
Unatamani upige kelele watu wote wajue [emoji28][emoji28][emoji28]
I know it doesn’t last forever
Lakini kwa wakati huu naenjoy [emoji3059]
Yeah for now itatosha
 
right, yaani moment hizi watu hua wamoja kihisia hadi raha, utashangaa wakati anakuta nawe ndo ulitaka kumtafuta.
Ukihisi huzuni unaulizwa tatizo Nini, ukifurahi kidogo Kuna hisia anaipata🙄🙄 jamani jamani ukute ndo kajaaliwa uwezo Sasa, uwiiiii nimepatwa walahi, naanzaje kuchomoka kwake😅😅😅😅 eeh Mungu asante
 
Kuna kipindi thermometer ya mapenzi inasoma joto la hali ya juu hadi unatamani iwe hivyo kila siku ya Mungu. Yani uliye naye anakujali na kukupenda hadi unalewa mapenz.
Tuliopo kwenye situation hiyo tujuane tafadhali.
Ukiona hivyo ujue anakucheat Sasa hapo anakupiga change la macho sister!hivi hujajua mbinu zao Bado?yaani mi nikiona themometer imeongeza joto na Mimi naongeza ushushu huku natabasam
 
😂😂😂😂😂 kumbe miandiko ya makungwi ndiyo iko hivyo?
Umetupa ujumbe konki sana, yaani ni dedication kali kinoma tukiifata amani na Raha hizi zitaishi kwetu kwa muda mrefu ama wengine milele kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom