Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Nilimuonesha mapenzi akanionesha mfuko
Alisema ananipenda kwa dhati Ila kwa nafsi alikuwa na kibati..

Yaani mi mshamba ameniacha kisa si mtanashati,
Yaani makosa yetu ya kindaki anapeleka kwa kamati
 
Kuna kipindi thermometer ya mapenzi inasoma joto la hali ya juu hadi unatamani iwe hivyo kila siku ya Mungu. Yani uliye naye anakujali na kukupenda hadi unalewa mapenz.
Tuliopo kwenye situation hiyo tujuane tafadhali.
Subiria mvua zianze ulete mrejesho😎
 
Tuko pamoja Mrs Bishanga, tunapitia vipindi vinavyofanana kabisa, natamani niutangazie ulimwengu mzima kile napitia kwa sasa
Penzi jipya bana, ulevi wake unaweza hisi watu wengine wote ni mifugo tu na mimea na dunia nzima mpo wawili tu!🤣🤣🤣

Wacha siku zisogee kidogo matumizi mabaya ya neno busy yakianza utatujulisha😎
 
Kwajinsi penzi letu lilivyokua tamu 😍😍sikifahamu linaweza kuisha kws mtindo ule🤣🤣🤣
Penzi likizidi utamu jiandae kisaikolojia 😂😂😂 maana kuna namna flani itatokea tu upepo utabadilika!
 
Ni wakati Kama huu mtu yeyote akiomba chochote kilicho ndani ya uwezo wako unampa, maana unauhisi ubinadamu, upendo na huruma kwa kila mtu,

Yakibadilika turudi tufarijiane😂😂😂😂
Ndio ule muda wa kununuliana Iphones na perfumes za bei ghali huku mkibadilisha mapishi ya hotel mbali mbali mjini😂!!! Huku majina mazuri yote mkipeana...Both wishing it could last forever🤣🤣🤣

Yule pepo mchafu akitua tu sasa😂😂😂
 
Ndio ule muda wa kununuliana Iphones na perfumes za bei ghali huku mkibadilisha mapishi ya hotel mbali mbali mjini[emoji23]!!! Huku majina mazuri yote mkipeana...Both wishing it could last forever[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yule pepo mchafu akitua tu sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah too much of something is harmful
But love is limitless
We all know nobody likes problems to interfere in love
But time will tell to their new period of love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom