Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Sijui ni kwa mda gani itadumu ila ninachojua Mungu ameniletea amani kwa mda huu. I cherish this moment until hapo itakapogeuka shubiri.
LM usinigeuke tuu
Raha sana jamani, nilikuwa na zaidi ya muongo mmoja silijui kanisa ila nina zaidi ya mwezi kila wiki lazima nikamshukuru Mungu kwa amani hii nayopitia Sasa, kila kitu nakiona chepesi sana

Amini hali haitabadilika
 
Ni wakati Kama huu mtu yeyote akiomba chochote kilicho ndani ya uwezo wako unampa, maana unauhisi ubinadamu, upendo na huruma kwa kila mtu,

Yakibadilika turudi tufarijiane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni shida atii...
He hehe ngoja nicheke.
Unaombwa msamaha hadi anapokohoa
Najua utapita hapa ila huu uzi ngoja ubaki uwe kumbukumbu yetu incase
 
Raha sana jamani, nilikuwa na zaidi ya muongo mmoja silijui kanisa ila nina zaidi ya mwezi kila wiki lazima nikamshukuru Mungu kwa amani hii nayopitia Sasa, kila kitu nakiona chepesi sana

Amini hali haitabadilika
Ngoja na mm nkasugue goti asee...
 
Kuna kipindi thermometer ya mapenzi inasoma joto la hali ya juu hadi unatamani iwe hivyo kila siku ya Mungu. Yani uliye naye anakujali na kukupenda hadi unalewa mapenz.
Tuliopo kwenye situation hiyo tujuane tafadhali.
Duh!congrats lady if I'm not mistaken to get someone who values you the same way you value him isn't easy at all..

But make sure you won't end up regretting what you've achieved because the community has now set an eye on you
 
Ni wakati Kama huu mtu yeyote akiomba chochote kilicho ndani ya uwezo wako unampa, maana unauhisi ubinadamu, upendo na huruma kwa kila mtu,

Yakibadilika turudi tufarijiane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una nini lakini? Nimecheka mpaka nimepaliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom