Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Tulio in deep love kipindi hiki tujuane

Yeah too much of something is harmful
But love is limitless
We all know nobody likes problems to interfere in love
But time will tell to their new period of love
Endless love iko kwa soulmates tu, mnapendana unconditionally, kwa mvua kwa jua! Too bad ni ngumu sana kupata soulmate katika kizazi cha sasa.

Inatangulia infatuation kama msingi wa penzi. Baada ya muda mmoja wenu anaanza kujifanya busy kuliko Mungu. Basi taratibu no communication, arguments set in mpaka kamba inakatika inabaki story.🤣🤣🤣
 
Ni wakati Kama huu mtu yeyote akiomba chochote kilicho ndani ya uwezo wako unampa, maana unauhisi ubinadamu, upendo na huruma kwa kila mtu,

Yakibadilika turudi tufarijiane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa sababu tu unafeel real love [emoji276]
 
Kuna kipindi thermometer ya mapenzi inasoma joto la hali ya juu hadi unatamani iwe hivyo kila siku ya Mungu. Yani uliye naye anakujali na kukupenda hadi unalewa mapenz.
Tuliopo kwenye situation hiyo tujuane tafadhali.

Tuko pamoja Mrs Bishanga kuna wakati unapendwa hadi unatamani ku pigaKeleleeeeee💃💃💃💃
Unakua tejakipofu kabisaaa😍😍😍
 
Yaani niko deep kiasi kwamba nikiona anapunguza tu kidogo namtongoza upya tunaanza wapyaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Deep deep shit yaani so deeep . Staki hata kufika juu mi nipo deep sana 😂😂😂😂
 
Kuna kipindi thermometer ya mapenzi inasoma joto la hali ya juu hadi unatamani iwe hivyo kila siku ya Mungu. Yani uliye naye anakujali na kukupenda hadi unalewa mapenz.
Tuliopo kwenye situation hiyo tujuane tafadhali.
Vipi yule Mzee baba wa kipindi kile Sasa hivi karudi na amekolea eeh! Mtaachana tu
 
Enjoy Best make sure you show him respect, care and love. Don’t use negative/ harsh words against him, when you make any mistake apologize as soon as possible in order to maintain peace and harmony in your L♥♥E.

Raha sana jamani, nilikuwa na zaidi ya muongo mmoja silijui kanisa ila nina zaidi ya mwezi kila wiki lazima nikamshukuru Mungu kwa amani hii nayopitia Sasa, kila kitu nakiona chepesi sana

Amini hali haitabadilika
 
Najua kila jambo na wakati wake.... Upo wa kulia na wakucheka pia...ila tambueni kwa sasa nacheka...
InA maana wote mko na sour relationship s mda huu?

Hapana dada nipo hapa naelewa hio situation yani najiona kama dunia nzima ipo kiganjani
Kupendwa raha sana
Unatamani upige kelele watu wote wajue [emoji28][emoji28][emoji28]
I know it doesn’t last forever
Lakini kwa wakati huu naenjoy 🥰
 
Yaani niko deep kiasi kwamba nikiona anapunguza tu kidogo namtongoza upya tunaanza wapyaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Deep deep shit yaani so deeep . Staki hata kufika juu mi nipo deep sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom