FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,950
- 109,369
Bandari zinakesha, hapa inachoongelewa ni boti moja tu ya Unguja kuja Dar.Kabisa bandari ikeshe..soko la kariakoo likeshe..etc
Uzembe unaofanyika safari ilipoanzia na kampuni binfasi ambayo haifati muda wa "schedule" zake. Inawawacha abiria kwenye boti ikifahamu kuwa imekiuka muda wa kuingia bandarini italambwa faini ikishusha abiria muda huo.