Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,111
- 18,523
Wengi humu hamjui tofauti ya meli na boti, hiyo ni meli ya mizigo na abiria inaitwa azam sealink. Unatumia masaa 6 Dar-Znz.Tutumie common sense, boti ya kukaa masaa matano badala ya one hour baharini la kazi gani?
Sifanyi biashara hii.
Na wewe usijepanda meli halafu ukasema hufanyi biashara hiyo.