Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,888
Pole sanaNishakunywa maji ya kutosha. Nilikuwa sijui namna ya kuruka pale juu maji yanapoanza kuporomoka chini, nikajikuta nimefikia kwenye kina kirefu pale chini, na kujikuta nataka kufa maji. Wenzangu wakaniokoa!