Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,901
- 3,937
Maisha yana kila aina ya vimbwanga na unaweza kusema kama ushamaliza kuona maajabu yote mwishowe unajiona ndio kwanza unaanza kuona maajabu.
Mwaka 2016 nikiwa Tanga chuo cha utumishi nikawa nakaa na jamaa yangu mmoja,alikuwa mlevi hivi ila hakuwa na shida,alikuwa anapenda sana madem.
Alipata demu mmoja hivi nakumbuka anaitwa NEEMA mlokole,yule jamaa yangu alivyokatili akajifanya nae mkristo ili amuhadae yule mdada,mpaka kanisani alikuwa anakwenda ili tu amuaminishe kwamba ni Mkristo.
Basi yule dada akalainika akawa anakuja hostel kwetu,ila changamoto ilikuwa kwenye mbunye kutoa.
Siku aliekubali kutoa mbunye akasema huyu lazima nimtafutie mazagazaga(vumbi)ingawaje kule Tanga hakuwa na network ya kupata vumbi ila tulipata taarifa kuwa kuna pharmacy moja inapatikana mikoroshini yule ndio anazile dawa.
Basi tukatoka kwq shauku kubwa kwenda kwenye ile pharmacy tukamkuta yule jamaa ambae alikiwa anafanya kazi hospital ya Bombo na huku mtaani alikuwa na ki pharmacy chake Kange kasera.
Baada kufika pale akamueleza anataka dawa za mambo yetu, bila ajizi yule jamaa akatoa box limejaa kila aina za dawa wewe unachagua unayotaka, basi nakumbuka alimpa 3000 ili Neema akauchezee moto haswa.
Huku nami nikisubiri report za mkuyati wa kizungu jamaa alete mrejesho aisee aliamka kichwa kinamuuma balaa,yaan kichwa kinapasua sio mchezo (side effect).
"SASA HAPA NDIO LINAKUJA SWALI ULISHAWAHI KUSAHAU JINSIA YA MKE WAKO?
Mwaka 2016 nikiwa Tanga chuo cha utumishi nikawa nakaa na jamaa yangu mmoja,alikuwa mlevi hivi ila hakuwa na shida,alikuwa anapenda sana madem.
Alipata demu mmoja hivi nakumbuka anaitwa NEEMA mlokole,yule jamaa yangu alivyokatili akajifanya nae mkristo ili amuhadae yule mdada,mpaka kanisani alikuwa anakwenda ili tu amuaminishe kwamba ni Mkristo.
Basi yule dada akalainika akawa anakuja hostel kwetu,ila changamoto ilikuwa kwenye mbunye kutoa.
Siku aliekubali kutoa mbunye akasema huyu lazima nimtafutie mazagazaga(vumbi)ingawaje kule Tanga hakuwa na network ya kupata vumbi ila tulipata taarifa kuwa kuna pharmacy moja inapatikana mikoroshini yule ndio anazile dawa.
Basi tukatoka kwq shauku kubwa kwenda kwenye ile pharmacy tukamkuta yule jamaa ambae alikiwa anafanya kazi hospital ya Bombo na huku mtaani alikuwa na ki pharmacy chake Kange kasera.
Baada kufika pale akamueleza anataka dawa za mambo yetu, bila ajizi yule jamaa akatoa box limejaa kila aina za dawa wewe unachagua unayotaka, basi nakumbuka alimpa 3000 ili Neema akauchezee moto haswa.
Huku nami nikisubiri report za mkuyati wa kizungu jamaa alete mrejesho aisee aliamka kichwa kinamuuma balaa,yaan kichwa kinapasua sio mchezo (side effect).
"SASA HAPA NDIO LINAKUJA SWALI ULISHAWAHI KUSAHAU JINSIA YA MKE WAKO?