Tayeb
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 434
- 464
Manyerere Jackton,Mkuu, sidhani kama uzi wangu una tatizo. Nimejaribu kuonyesha namna watanzania tunavyoweza kutumia bidhaa zetu za ndani ili kuinua uchumi na ajira za watanzania. Kuna ugonjwa wa siku nyingi wa watanzania kupenda vitu vya nje. Hiyo ilikuwa hatari kubwa sana kwa uchumi wetu. Ebu jamani penye jambo jema tuunge mkono serikali. Tusibeze au kupinga kila kitu. Ni aibu ikulu kujaza sharbati na maji kutoka ughaibuni.
Bado heshima yako imeshuka Mura!
Kwakua mawazo yako yameganda kwenye "ubuge" tu!
Mh. Rais alivaa vazi la Taifa? Au kitu chochote made in Tanzania?
Chukua HOJA nzito zitakazokujengea HESHIMA kwa faida ya walipa kodi walala hoi!
Vinginevyo unaonekana ni kundi lile lile la makanjanja wanaoenda Ikulu kufuata kula!
Last edited by a moderator: