Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Kwahakika kwa Rais sikupoeteza kura yangu, tumepata mtu ambaye relatively ni honest na atleast anamaanisha kwa kila analosema.

Kwa hakika Tanzania njema ni lazima apende au asipende mtu!
 
Akili nyingine bhana, hapo nje walikua wamepaki Suzuki Maruti au ni V8?
 
Kweli kabisa pia hakuna cha posho wala nini

Kweli chief, mijitu inalipwa miposho na marupurupu na mishahara mizuri tuu na bado deal inapiga za kufa mtu halafu lijitu linakuja anzisha uzi wa kupongeza kisa kaona juice za Azamu mezani.
 
We ndugu yng zuzu kwel......sasa hizo juice zenu cc zinatuhusu nn? We bora hata umekunywa juice kuna watu hata hawajatia kitu mdomoni tangu cku imeanza. Hebu rudi kajipange uje na mada inayogusa maisha ya watu hizo ctor za viwanda na hadithi za Abunuasi subirini muone.
 
Juice ya elfu mbili ya azam,meza ya mchina,glass ya ulaya,simu ya milioni mbili,vxv8,kalamu na karatasi za nje ya nchi

Hiyo ndo starting point sasa,mbona kazi yenu ni ku-criticize tu? Tumeanza na products available afu mdogo mdogo inageuka kuwa culture yetu then fikiria baada ya miaka 20 tutakuwa wapi kama kila mtu atakuwa na mlengo wa Magufuli?

Roma haikujengwa siku moja wazee
 
Hakika Magufuli ni chaguo la Mungu!
 
Wakomae pia kuanza kutumia magari ya nyumbu wakiwezeshwa wataunda mashangingi alafu wakumbushe pia:-
1.Suti vitambaa vya nyumbani na fundi Juma ni mjuzi kweli wa kushona
2.Viatu hata mangi anatengeneza
3.Viti na meza vya ofisi waende pale keko wapo mafundi
4.Na tuwaone kwenye foleni pale Zakheem zahanati
Ongeza na vingine vya kwetu hapa maana viko vingi tunapewa imani kua tunafanana na ninafurahi kwa kweli😂😂😂
 
Ila kusema ukweli Azam aboreshe juice zake. Unamimina juice inavyotoka utafikiri nini sijui. Tunathamini vya ndani ila watengenezaji nao watuthamini kwa kutupatia vilivyo bora kama vya huko kwa wengine.

Mkuu mbuna juice za Azam zipo vizuri tu. Au wakati wa kumimina ulitaka itokeje kwenye box kwa mfano. Nilitegemea useme labda baada ya kunywa uliharisha au kuna mtu mwingine kalalamika kwa kumsababishia side effect. Vinginevyo tuendelee kuthamini bidhaa za Kitanzania.
 
Hiyo ndo starting point sasa,mbona kazi yenu ni ku-criticize tu? Tumeanza na products available afu mdogo mdogo inageuka kuwa culture yetu then fikiria baada ya miaka 20 tutakuwa wapi kama kila mtu atakuwa na mlengo wa Magufuli?

Roma haikujengwa siku moja wazee

Aweke mihogo,ugali wa mtama na mlenda mpaka waandishi wakome kuzamia halfa
 
Aweke mihogo,ugali wa mtama na mlenda mpaka waandishi wakome kuzamia halfa

Mimi nahisi Magufuli hajui anachotaka kufanya.Hii sijui ndio ilani ya CCM au ni nini?
Halafu kuna jamaa yangu anapenda kusema ufupi ni kilema, sasa naanza kumwelewa.
 
Ni jambo jema kupunguza matumizi yasiyoyalazima na kutukuza za kwetu.
Ila sasa asiishie katika vikao anvyohudhuria yeye tu bali vikao vyote vya taasisi za serikali na mashirika ya umma kwa sababu huko ndiko kunapigwa kila uchwao
Mashangingi yafutwe na yaliyopo yapigwe mnada.
 
Back
Top Bottom