Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Nadhani mabehewa hufuata kichwa binafsi yangu kwa dhati nasema nchi itasonga mbele inaweza isiwe kwa matarajio yetu lakini kwa kiasi fulani tatizo letu ni usimamizi kwani tuna utajiri mkubwa wa rasilimali.

Mara zingine mabehewa huvuta kichwa na kuleta maafa....
 
Khaa!! Tingatinga pia angepiga marufuku biashara ya udalali. Kuna mijitu inakula bata mjini wakati mkulima anatokwa na jasho inasubiri mazao yakomae iende ikawalalie wakulima. Hii haikubaliki. Serikali isimamie mfumo wa kumuuwezesha mkulima kupata pembejeo kwa wakati na kumsaidia kupata masoko yenye faida.

Ikiwamo udalali wa VITALU vya gesi kina Harbinder walikojichimbia.....
 
Another bullshit,
Kwahiyo essence ya mada wewe umeona ni hafla?
Seriously unataka tujadili walikula takataka gani watakunya nini?
Think outside the box bwanaaa ahhh!

Usipanic bro,
Calm down,
Lol.
 
Wakati mwingine napata shaka na weledi wa mwandika uzi.
 
Wakuache jamani yaliyo kukuta si madogo hahaha

Hahahahahaaa chizi wewe.
Honestly sijaumia kihivyo coz najua tulifanyiwa hujuma,tulishinda lakini hatukutangazwa washindi.
Yamepita,tunajipanga kwa 2020 damu lazima imwagike.
 
Rais John Magufuli, amekuwa akisisitiza azma ya Serikali yake ya kufufua na kuanzisha viwanda vipya.

Lakini huwezi kuwa na viwanda vipya kama sisi wenyewe hatutumii bidhaa zinazozalishwa kwenye viwanda hivyo.

Leo nimeona jambo la faraja sana Ikulu ya Chamwino. Juisi (sharbati) zote zilikuwa ni za hapa hapa nchini, hasa kutoka Azam.

Zilikuwapo za kila aina kuanzia za machungwa, mananasi, maembe, mapela, na kadhalika. Kwa maji ya kunywa, yalikuwapo Kilimanjaro kutoka kwa Mzee Mengi.

Mvinyo haukuwapo, pengine kwa sababu muda haukuruhusu; kama ungekuwapo, basi bila shaka ungekuwa ni Dompo, Dodoma, Presidential, n.k kutoka hapa hapa Dodoma.

Kama Ikulu wameanza kuthamini bidhaa za ndani, huu ni mwanzo mzuri wa kuimarisha viwanda vyetu vya ndani.

Hakuna sababu ya kunyeshwa juisi za Afrika Kusini au Kenya, ilhali sisi wenyewe tunazo za kiwango cha juu. Huu ni mwanzo mwema.

Kweli kabisa. Soko letu la ndani ni kubwa sana na tukifanya huyo uchumi wetu utapaa.
 
Manyerere Jackton


Kama hilo ni kweli lilikuwa lengo basi naweza kusema kwamba Raisi Magufuli ameanza na mguu mzuri na huko mbele mambo yatanyooka tu, kinachofwata aanze na furniture za maofisini maseremala wetu wapewe kazi, kwanza wawezeshwe kwa kuwapa utaalamu tuna veta zakutosha tu au hata magereza pia wanatengeneza furniture, hapo itakuwa ni win win situation kwani tutazalisha ajira kwa watu wetu na pia kuongeza ubora wa bidhaa zetu hali itakayopelekea kuanza kuexport nje ya nchi!

Safi sana Magufuli!

Kaliongelea bungeni
 
Last edited by a moderator:
Jana kaongea mil 223 za uzinduzi wa bunge ziende kununua magodoro.na vitanda muhimbili.leo msd wameshusha.vitanda 500 na.magodoro 500, Nani.kama magufuli kweli.Hapo.kazi Tu.
 
Jana kaongea mil 223 za uzinduzi wa bunge ziende kununua magodoro.na vitanda muhimbili.leo msd wameshusha.vitanda 500 na.magodoro 500, Nani.kama magufuli kweli.Hapo.kazi Tu.
Mnarekebisha makosa yenu,mnajisifia? Watu wenye akili mgerekebisha makosa yenu kimya kimya!
 
vivaa jpm!! kwa mwendo huu tunaandaa maombolezo ya upinzani 2020!! hapa kaz tu,.. biashara sokoni!!!!
 
vile vichokonoa meno,toys,nk vitaendelea kuagizwa toka china?
 
Back
Top Bottom