Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Kapwila Matulu

Darasa la saba mnatupa shida sana mitandaoni. Kiwango chenu cha akili kipo chini sana. Hivi, viwanda ni vya maji na juice tu? Hiyo ni mifano ya viwanda ambavyo vipo nchini na vinamilikiwa na wazawa. Ila lengo la serikali ni kufungua viwanga vingine vya kuzalisha bidhaa nyingine ikiwa ni pamoja na viatu, mikanda, sindano, tooth pick, mabegi, mikoba, matairi na bidhaa zingine nyingi tu ambazo malighafi zake tunazo hapa nchini. Sasa hoja ya Magufuli ni kwamba, viwanda vingine vinaweza kuanzishwa na vikaanza uzalishaji...lakini inapaswa WaTanzania pia tu-play our part kwa kupenda vya nyumbani kwa kununua vinavyo zalishwa hapa hapa nyumbani. Hiyo ndio hoja. Sasa hadi hili unataka ufafanuzi!?
 
Last edited by a moderator:
Ila kusema ukweli Azam aboreshe juice zake. Unamimina juice inavyotoka utafikiri nini sijui. Tunathamini vya ndani ila watengenezaji nao watuthamini kwa kutupatia vilivyo bora kama vya huko kwa wengine.

Lakini mbona kuna vitu kibao tu vya nje vinavyoingia nchini visivyothibitishwa ubora wake ambavyo tunavitumia kila siku lakini hatulalamiki? Tena vingine vya ovyo kabisa hata hivyo vya Azam vina ubora.
 
kama nikweli asisahau kupunguza gharama za umeme aanze na ukokotozi wa capacity charges zilizo anzisha issue ya escrow Manyerere Jackton
 
Last edited by a moderator:
Swali kwa wana ccm kwa hiyo mtangulizi wa Magufuli alikuwa bogus??maana kila mwanaccm hapa naona kama wamepata ahueni au nyie ndio mlio toswa na baba rizi moko mema yake mlisikia kwa shikaji zenu
 
Nimesikia hata pale Ikulu alipoingia siku ya kwanza kuamkia hapo akakuta chai ya asubuhi ni Buffet akauliza hii chai yote mmempikia nani kwani kunawageni?? Kuanzia siku iliyofuata akapiga marufuku!
 
Huyu jamaa ni mkubwa wa umri tu akili zero.na juzi alikuja na hoja ya Magufuli kutumia barabara,mambo ya kitoto tu
 
Nimesikia hata pale Ikulu alipoingia siku ya kwanza kuamkia hapo akakuta chai ya asubuhi ni Buffet akauliza hii chai yote mmempikia nani kwani kunawageni?? Kuanzia siku iliyofuata akapiga marufuku!

Ameshaathiri familia ya caterer...
 
Manyerere Jackton

Na wewe umepewa mwaliko huko kufanya nini au unafukuzia kurugenzi ya habari magogoni
 
Last edited by a moderator:
Darasa la saba mnatupa shida sana mitandaoni. Kiwango chenu cha akili kipo chini sana. Hivi, viwanda ni vya maji na juice tu? Hiyo ni mifano ya viwanda ambavyo vipo nchini na vinamilikiwa na wazawa. Ila lengo la serikali ni kufungua viwanga vingine vya kuzalisha bidhaa nyingine ikiwa ni pamoja na viatu, mikanda, sindano, tooth pick, mabegi, mikoba, matairi na bidhaa zingine nyingi tu ambazo malighafi zake tunazo hapa nchini. Sasa hoja ya Magufuli ni kwamba, viwanda vingine vinaweza kuanzishwa na vikaanza uzalishaji...lakini inapaswa WaTanzania pia tu-play our part kwa kupenda vya nyumbani kwa kununua vinavyo zalishwa hapa hapa nyumbani. Hiyo ndio hoja. Sasa hadi hili unataka ufafanuzi!?

You missed the point, but perhaps that's the farthest your brain can stretch!
 
Darasa la saba mnatupa shida sana mitandaoni. Kiwango chenu cha akili kipo chini sana. Hivi, viwanda ni vya maji na juice tu? Hiyo ni mifano ya viwanda ambavyo vipo nchini na vinamilikiwa na wazawa. Ila lengo la serikali ni kufungua viwanga vingine vya kuzalisha bidhaa nyingine ikiwa ni pamoja na viatu, mikanda, sindano, tooth pick, mabegi, mikoba, matairi na bidhaa zingine nyingi tu ambazo malighafi zake tunazo hapa nchini. Sasa hoja ya Magufuli ni kwamba, viwanda vingine vinaweza kuanzishwa na vikaanza uzalishaji...lakini inapaswa WaTanzania pia tu-play our part kwa kupenda vya nyumbani kwa kununua vinavyo zalishwa hapa hapa nyumbani. Hiyo ndio hoja. Sasa hadi hili unataka ufafanuzi!?

unapendaje cha nyumbani hakina hata ubora,mwenyekiwanda mpiga deal,mkaguzi toka serikali mpiga deal,mkiacha ujanja ujanja wakiccm wakila mkionacho kwenu deal watu lazima waione nchi yao ya dezo dezo,kuwa proud na chakwenu lazima uwepo uzalendo ndani yako popote utapo enda utakibeba chakwenu lakini kwa tz ya sasa ambayo wezi wanakuimbia utaisoma it cant be hata kwa mijeredi
un
 
Back
Top Bottom