Kichwa chako hakiko sawa aisee dah unatia huruma Magufuli he is not delivering to your expectations matokeo yake wapambe ili awe relevant lazima muleta mapambio ya kijinga magufuli asipokunywa juice za azam mbona zinanyweka tu na watanzania wengine Kenya Uganda Rwanda Zambia Msumbiji watu wanaozipenda wanakunywa tu acha ujinga unajikomba kupita kiasi