Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Jenga viwanda, toa elimu vipate skilled workers, you're good.
 
Ajira pia izingatie wazawa, hasa katika private sector, kama wazawa wanakidhi viwango basi wageni wasipewe kipaumbele kiviile, na mishahara iwe sawa na kazi, maana unakuta kazi ni ileile ila mgeni analipwa tofauti na mzawa, wazawa wanabaki vibarua forever....
 
Uzalendo ni imani, JPM ni mzalendo kwelikweli "mafisadi" wameanza kuisoma namba.
 
Tunahtaj na kiwanda cha boxer za pamba toka mwanza na cyo boxer za china!!!
 
Nguv ya soda, itapoa tu, awatumbue wale mafisadi wa ndugu k......................................i...............................k..........................w...............................e...............................t.............................e......................Aone cha moto
Ingawa uwezo, nia na Sababu anayo, lakini pazitooooooooooooooooooooooooooooooooooooo, Vituo vya mafuta mtoto Mdogo kapata wapi?
 
Manyerere Jackton


Kama hilo ni kweli lilikuwa lengo basi naweza kusema kwamba Raisi Magufuli ameanza na mguu mzuri na huko mbele mambo yatanyooka tu, kinachofwata aanze na furniture za maofisini maseremala wetu wapewe kazi, kwanza wawezeshwe kwa kuwapa utaalamu tuna veta zakutosha tu au hata magereza pia wanatengeneza furniture, hapo itakuwa ni win win situation kwani tutazalisha ajira kwa watu wetu na pia kuongeza ubora wa bidhaa zetu hali itakayopelekea kuanza kuexport nje ya nchi!

Safi sana Magufuli!

Yani kama ulikua akilini mwangu. Hakuna kinachonikera kama hizi fenicha za kichina maofisini jamani. ukiweka printer kubwa heavy duty lazima lishuke! ukipanga vitabu yanatitia. Veta,jkt na magereza got the best furniture ambazo ukishanunua bajeti ya fenicha hakuna tena in more than 15 yrs. Lakini serikali inawatizama kama nyanya mbichi. Tena hawataki hata kuwapa misaada ya kujiendeleza. Sasa lazima tuwatafute.Magufuli keshasema
 
Last edited by a moderator:
Yani kama ulikua akilini mwangu. Hakuna kinachonikera kama hizi fenicha za kichina maofisini jamani. ukiweka printer kubwa heavy duty lazima lishuke! ukipanga vitabu yanatitia. Veta,jkt na magereza got the best furniture ambazo ukishanunua bajeti ya fenicha hakuna tena in more than 15 yrs. Lakini serikali inawatizama kama nyanya mbichi. Tena hawataki hata kuwapa misaada ya kujiendeleza. Sasa lazima tuwatafute.Magufuli keshasema

tatizo wanauza ghali sana.
 
Hapa kuna tatizo kama lile la `Rais kasafiri na gari kwenda Dodoma``
Manyerere ameonyesha tena ushabiki na kuipa taaluma kisogo

Hoja yake, Rais ameanza kuthamini vitu kuwezesha viwanda vya ndani kufanya vizuri.
Hakuna sababu za kunywa Juisi za Afrika kusini au Kenya`


Manyerere,
kama utakumbuka kiwanda cha general tyre.

Matairiyaliuzwa kwa magendo nchi za jirani na kuua soko la matairi

Kiwanda kilikufa si kutothamini bidhaa, bali uongozi na siasa.
Pesa za mwenge na nafasi za watoto wa vigogo. Kikashindwa ushindani


Kibo match ilikufa,watu wanapenda viberiti vya Pakistan, vya kibo , viberiti vina njiti 30 zenye baruti ni 7.
Kikiingia umande kwisha
.

Wateja wakaamua kununua something worth for the moneny kutoka Pakistan

Tulikuwa na Tanbond, hatujui imeishia wapi.
Tulikuwa na Moproco wateja wanasubiri mafuta.

Tulikuwa na maturabai wateja wa EA wanasubiri hadi kesho


Mifano hii inatosha kumwambia Manyerere, juisi za South Afrika au siagi za Kenya si ufahari.

Soko huria linakwenda na ushindani. Hizo Ikulu kamazitaingia mitaani na chuya na magugu, tutanunua za Kenya

Kinachoua viwanda vya ndani si wateja. Ni kukosa ushindani katika kila Nyanja, Masoko, bei na ubora.
Watu wanataka quality products katika affordable price. Soko huria linawapa choice


Manyerere angetakiwa kwa taaluma yake aende mbali zaidi ya kusifia rangi za maembe

Magufuli alikuwawaziri awamu 2 wa serikali zilizouza viwanda na nyumba za serikali

Leo Manyerere anatumabia huyu si Magufuli wa miaka 20 ndaniya cabinet
Kwa mwendo alio nao anyerere, hakika ni tatizo katika fani.

Ni lazima ajipime kama anawakilisha fani au ni katika jitihada.

Waswalihili wanasema udongo uwahi ungali maji, na biasharaasubuhi jioni kuhesabu mali.

Pasco
 
Kwa hatu anazokwendanazo Rais wetu anaonesha jinsi anavyo dhamilia kutupeleka ktk uchumi wa kati
 
Manyerere unataka kuwa mkuu wa mkoa nn! taaluma yako umeiweka pembeni
 
Mwanzo mzuri!! Kuna uwezemkano mkubwa viwanda vikifufuliwa kutakuwa na ufanisi mkubwa kazini kutokana na funzo la kufa kwa viwanda kwenye awamu 3 za mwanzo!!
 
Nadhani kila m2 ana matamanio yake kwa rais mteule. Mimi langu ni kumuomba aiondoe TTCL kwenye "coma" na pia airudishe General tyre coz nackia imefufuka lakini imefufukia Kenya kama ilivyo kwa kampuni Tanzania Oxygen! Nyie wenzangu sijui mnasemaje
 
Namuomba mh rais aboreshe mfumo wa elimu ili uweze saidia ktk kasi yake ya ufufuzi wa viwanda kwani ndio njia pekee inayoweza toa ubora wa viwanda vya ndani na kuthamini bidhaa za ndani ambazo zitaweza kutengenezwa na wazawa na kuwa zenye ubora mkubwa hivyo ni rai yangu kwake kuwa aboreshe pia na mfumo wa elimu
 
Nadhani viwanda vitaongezeka na ushindani pia. Na watazalisha kwa wingi so bei inaweza kupungua.

Watu hawawekezi kwasababu Rais amesema, naamini hata wewe huwezi kufungua kibanda cha sukari na chumvi kwasababu ya hotuba ya rais.

Watu wanawekeza kama gharama za kuagiza malighafi ziko chini.Hapa kazi kubwa inatakiwa kufanyika ili kuimarisha thamani ya shilingi dhidi ya fedha za kigeni.

Watu wanawekeza kama sera za serikali ni rafiki na taasisi zinazo husika na uwekezaji zinafanya kazi kwa ushirikiano.Sio mtu anapewa kibali leo na ofisi moja kesho ofisi nyingine inasema hana vigezo.

Watu wanawekeza kama kuna nishati ya uhakika,sio mtu anafanya kazi kwa uhakika siku nane katika mwezi mzima.Au anatumia nishati mbadala yenye gharama kubwa.

Watu wanawekeza kama mazingira ya uwekezaji ni rafiki.
Kutengeneza mazingira hayo tu yenyewe ni uwekezaji.
Magufuli aache kuimba viwanda aanze kutenda.
 
Back
Top Bottom