I woke up very serious.. na sijiungi nao ili kukaa kimya ila kujaribu kuyatoa mawazo mumo kwa mumo. Kupiga kelele toka nje nadhani inafaa kwa wakati wake lakini wakati mwingine mabadiliko lazima yaletwe toka ndani. "Upinzani wa Kweli utatoka ndani ya CC" alisema Mwalimu na kwa mbali kama vile ukungu naweza kuona ukweli wa maneno hayo hasa baada ya uchaguzi Mkuu wa CCM uliopita.
Kada nifanyie mpango wa hiyo Kadi... na nitafurahi kupokea kadi ninapokuja kijijini Disemba/Januari katika moja ya mikutano ya wakubwa.. (usiniulize kwanini siwezi kupokea kimya kimya).. I can't wait to put the yellow and green attire.. !!
Ndio naiona hii, Mwanakijiji unatania nini?
Huwezi kuacha mapambano na kujiunga nao, afadhali hata usingeanzisha mapambano, maana jemadari akianguka, unafikiri
hao wafuasi wote, makoplo, na wengine watakuwa kwenye hali gani?