Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,540
Ile siku ambapo watu wengi watapotea kwa wakati mmoja duniani kote imekaribia sana. Inaelezwa kwamba taifa fulani lilipochipuka na kukua basi ni ishara. Pia tukio hilo litatokea ndani ya miaka 100 ya taifa hilo, ambayo ni kizazi kimoja.
Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya watakaopotea watakuwa wakiendesha vyombo vya moto vitakavyopata ajali baada ya wao kupotea ghafla wakati vikiwa kwenye mwendo mkali. Siku hiyo itatisha na itakuwa mwanzo wa mapigo yatakayofuata.
Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya watakaopotea watakuwa wakiendesha vyombo vya moto vitakavyopata ajali baada ya wao kupotea ghafla wakati vikiwa kwenye mwendo mkali. Siku hiyo itatisha na itakuwa mwanzo wa mapigo yatakayofuata.