Tukio la Arusha: Nchimbi ajichanganya Bungeni

Tukio la Arusha: Nchimbi ajichanganya Bungeni

Sita ukigawa kwa mbili jawabu lake ni 3,

wewe ndio unayejichanganya kwa wataalamu wa hisabati hakuna tatizo hapo.
 
I hope this time Mhe. Nchimbi hatasema kwamba hao waliotupa bomu kanisani, sio MAGAIDI ni WAHUNI wachache! (Ref. Hao waliochoma makanisa moto Ngongo la Mboto sio WAISLAMU, bali ni wahuni wachache). Mind you waliochoma makanisa Ngongo la Mboto walitokea Msikitini!
 
Mnatakiwa kufahamu kuwa sio kila anaeshukiwa au kukamatwa ni mualifu, polisi inakamata inahoji ikiridhika na maelezo yako unaachiwa.. sasa mnataka kama wamekamatwa watu kumi basi ndio hao waliolipua bomu?
Hata nyie na lema wenu tunaweza kuja kuwadabua na kuwapoteza ndani kwa muda tukiridhika na maelezo tunakuachia.

bint acha mikwara ya kizaman!
 
Sheria ya kuwa muongo usiwe msaulifu....Nchimbi and the like zingatieni hili
 
Naamini hii ni kazi ya shetani na inawezekana inafanywa na kikundi kidogo cha watu ndani ya nchi yetu wenye madhumuni yafuatayo: -

1. Kujaribu kuonyesha kwamaba serikali ya JK ni ya kidini na imeshindwa kulinda dini mojawapo na kutetea dini ingine.
2. Kujaribu kudhoofisha kwa makusudi juhudi za serikali na CCM ionekane imeshindwa kabisa kumlinda mtanzania na kuwa inafaa iondolewe madarakani. Na katika hili inawezekana wahusika wapo ndani ya CCM ama Serikalini wakitumika kwa namna moja ama nyengine na shetani huyu aliyekaa pembeni akitutazama jinsi tunavyohangaika wenyewe kwa wenyewe na kupakana ubaya na uadui kwa faida yake na genge lake. Na katika hili naweza kabisa kuhisi ni mbio za uraisi wa 2015 na si vinginevyo.

Hawa watu wanaotumika na shetani wanaweza kabisa kuwa kutoka dini ama dhehebu lolote kwa kuwa wanapata ujira kwa maslahi binafsi na si kwa taifa wala dini yoyote.

Ni wakati sasa kwa serikali na CCM kujitazama upya na kujitafakari sana inawezekana ndani yake kuna mamluki wanaofanya kazi kama nyoka wa ndimi 2 si hivyo tu bali itakapofahamika wahusika si kucheka nao bali waletwe hadharani na wanyongwe bila huruma.
 
Naamini hii ni kazi ya shetani na inawezekana inafanywa na kikundi kidogo cha watu ndani ya nchi yetu wenye madhumuni yafuatayo: -

1. Kujaribu kuonyesha kwamaba serikali ya JK ni ya kidini na imeshindwa kulinda dini mojawapo na kutetea dini ingine.
2. Kujaribu kudhoofisha kwa makusudi juhudi za serikali na CCM ionekane imeshindwa kabisa kumlinda mtanzania na kuwa inafaa iondolewe madarakani. Na katika hili inawezekana wahusika wapo ndani ya CCM ama Serikalini wakitumika kwa namna moja ama nyengine na shetani huyu aliyekaa pembeni akitutazama jinsi tunavyohangaika wenyewe kwa wenyewe na kupakana ubaya na uadui kwa faida yake na genge lake. Na katika hili naweza kabisa kuhisi ni mbio za uraisi wa 2015 na si vinginevyo.

Hawa watu wanaotumika na shetani wanaweza kabisa kuwa kutoka dini ama dhehebu lolote kwa kuwa wanapata ujira kwa maslahi binafsi na si kwa taifa wala dini yoyote.

Ni wakati sasa kwa serikali na CCM kujitazama upya na kujitafakari sana inawezekana ndani yake kuna mamluki wanaofanya kazi kama nyoka wa ndimi 2 si hivyo tu bali itakapofahamika wahusika si kucheka nao bali waletwe hadharani na wanyongwe bila huruma.

Kama hizo assumptions zako mbili ni kweli, basi hii serikali hapaswi kuwepo in the first place.

Serikali IMARA NA MAKINI inashindwaje kukikamata hicho unachodai KIKUNDI KIDOGO?

Give me a break dude!
 
Waziri EMMANUEL NCHIMBI katika taarifa yake ndani ya bunge amejichanganya juu ya idadi ya watuhumiwa waliokwisha kukamatwa kuhusiana na mlipuko wa Arusha.

Jana wakati akiongea na STAR TV alinukuliwa akisema idadi ya waliokamatwa ni sita lakni leo ndani ya bunge amesema ni watatu.

Je umakini wake uko wapi?

Amesema taarifa aliyoisoma Bungeni iliandaliwa "Ijumaa". Jana alitoa taarifa kutoka eneo la tukio!
 
Mnatakiwa kufahamu kuwa sio kila anaeshukiwa au kukamatwa ni mualifu, polisi inakamata inahoji ikiridhika na maelezo yako unaachiwa.. sasa mnataka kama wamekamatwa watu kumi basi ndio hao waliolipua bomu?
Hata nyie na lema wenu tunaweza kuja kuwadabua na kuwapoteza ndani kwa muda tukiridhika na maelezo tunakuachia.


Umekula maharage yaliyochacha?
 
Kwan wazir ndo anaekamata hao watuhumiwa? Si anapewa taarifa tu yeye ana deliver?...lawama apewe anaempa hizo information! That means polis ndo mambulula plus intelijensia
Hapo kwenye red mchimbi ndio kiongozi wa mambulula...
 
Atubela....una matatizo ya ubongo kacheck fasta hospitalini...!!!
 
Waziri EMMANUEL NCHIMBI katika taarifa yake ndani ya bunge amejichanganya juu ya idadi ya watuhumiwa waliokwisha kukamatwa kuhusiana na mlipuko wa Arusha.

Jana wakati akiongea na STAR TV alinukuliwa akisema idadi ya waliokamatwa ni sita lakni leo ndani ya bunge amesema ni watatu.

Je umakini wake uko wapi?

Overconfidence.
Na hakuna anayeweza kumwajibisha, kwa mawazo yake wewe/sisi ni kina nani hapa nchin?, si umesikia tamko la mwenzake nape anawaita wananchi
nguruwe, yaani ukiwa nje ya ccm wewe ni nguruwe! dah!

 
Anajua kufuga nywele tu huyu na kukenua macho na meno!
 
...ana uzoefu wa kudanganya - tangu PhD yake feki.
 
Kwa nini wana Jf hatuungani kumtaka Nchimbi ajiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani?mauaji mangapi yameshatokea na bado yanaendelea kutokea huku tukiendelea kumlalamikia juu juu tuu na sharubu zake?

Tangu mlipoanza kuungana ni nani aliwahi kuwajibika? Yuko mtu aliyepitia matokea ya K4 kabla ya kuyatangaza na kuyaridhia. Baadaye kidogo inaundwa tume halafu NECTA inasukumiwa mzigo hilo mnaliona ni sawa. Kumbuka hakuna kifo kibaya kama cha kuua akili na ufahamu wa watoto.Tangu lini mtu ambaye hana uwezo ameongezewa alama halafu akawa akawa amefaulu mtihani? Jukwaa hili limekuwa ni la michapo na kejeli dhidi ya vyama na dini zaidi kuliko kujadili issues critically na kubaini ufumbuzi.
 
Mnatakiwa kufahamu kuwa sio kila anaeshukiwa au kukamatwa ni mualifu, polisi inakamata inahoji ikiridhika na maelezo yako unaachiwa.. sasa mnataka kama wamekamatwa watu kumi basi ndio hao waliolipua bomu?
Hata nyie na lema wenu tunaweza kuja kuwadabua na kuwapoteza ndani kwa muda tukiridhika na maelezo tunakuachia.


Mda gani wametumia kuwahoji na kuridhika na maelezo mpaka kuachiliwa?? Usitake kujidai unaelewa sana!! Vp tukisema walikua na maslai na ccm ndo mana mkawachilia??
 
Back
Top Bottom