The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 599
I hope this time Mhe. Nchimbi hatasema kwamba hao waliotupa bomu kanisani, sio MAGAIDI ni WAHUNI wachache! (Ref. Hao waliochoma makanisa moto Ngongo la Mboto sio WAISLAMU, bali ni wahuni wachache). Mind you waliochoma makanisa Ngongo la Mboto walitokea Msikitini!
Mkuu,
Ulikwenda kutoa taarifa polisi ama unaandika hapa jamvini ndio tukuone upe full informed ? Ukiwa na taarifa kama hizo peleka ushahidi kwenye vyombo husika ?
M23 wapo mjini taarifa unazo ? Mwenzanko nimeshawaripoti baada ya kurusha bomu kanisani !