CHRISTURKER
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 267
- 55
pole yake
Mnatakiwa kufahamu kuwa sio kila anaeshukiwa au kukamatwa ni mualifu, polisi inakamata inahoji ikiridhika na maelezo yako unaachiwa.. sasa mnataka kama wamekamatwa watu kumi basi ndio hao waliolipua bomu?
Hata nyie na lema wenu tunaweza kuja kuwadabua na kuwapoteza ndani kwa muda tukiridhika na maelezo tunakuachia.
Jamani wale wafuga ndevu na wavaa suruali fupi,wavaa kanzu na bakarashia kaeni chonjo maana intelijensia yao imekalia huko,Mungu atunusuru na balaa hili maana tulizoea kuyaona haya mambo toka nchi nyingine leo yamefika kwetu.
Ndugu kuwa makini unapochangia mada, hivi jana alipewa taarifa waliokamatwa ni 6 na leo kapewa taarifa waliokamatwa ni 3 hivi unakuwaje kiongozi makini bila kutafakari kwa kina taarifa unazopokea na ndo uzitoe kwa jamii? tunaendelea kusema waziri kachemka na hana uwezo na ndo maana anachanganya mambo kama hayo, kumbuka katika sakata la kumtetea Kinana alikuja na mambo ya mwaka 1996 wakati tuhuma zilizokuwa zikimuandama Kinana ni za mwaka 2012 ambapo ndo zile yale meno yalikamatwa kule Hongkong kwa kusafirishwa na Meri zake.Kwan wazir ndo anaekamata hao watuhumiwa? Si anapewa taarifa tu yeye ana deliver?...lawama apewe anaempa hizo information! That means polis ndo mambulula plus intelijensia
Mnatakiwa kufahamu kuwa sio kila anaeshukiwa au kukamatwa ni mualifu, polisi inakamata inahoji ikiridhika na maelezo yako unaachiwa.. sasa mnataka kama wamekamatwa watu kumi basi ndio hao waliolipua bomu?
Hata nyie na lema wenu tunaweza kuja kuwadabua na kuwapoteza ndani kwa muda tukiridhika na maelezo tunakuachia.
Waziri EMMANUEL NCHIMBI katika taarifa yake ndani ya bunge amejichanganya juu ya idadi ya watuhumiwa waliokwisha kukamatwa kuhusiana na mlipuko wa Arusha.
Jana wakati akiongea na STAR TV alinukuliwa akisema idadi ya waliokamatwa ni sita lakni leo ndani ya bunge amesema ni watatu.
Je umakini wake uko wapi?
ili neno ndilo linateketeza Tanzania sasa, ukosefu wa umakini! Lakini Mh. Msigwa kasema kuwa huyu Mh. Waziri alipata doctorate kabla hajafanya PhD hivyo usishangae mkuu!umakini wake upo kwenye kumtetea kinana......kuwamaliza ndovu wetu
By Atubela![]()
![]()
Mnatakiwa kufahamu kuwa sio kila anaeshukiwa au kukamatwa ni mualifu, polisi inakamata inahoji ikiridhika na maelezo yako unaachiwa.. sasa mnataka kama wamekamatwa watu kumi basi ndio hao waliolipua bomu?
Hata nyie na lema wenu tunaweza kuja kuwadabua na kuwapoteza ndani kwa muda tukiridhika na maelezo tunakuachia.