Mnatakiwa kufahamu kuwa sio kila anaeshukiwa au kukamatwa ni mualifu, polisi inakamata inahoji ikiridhika na maelezo yako unaachiwa.. sasa mnataka kama wamekamatwa watu kumi basi ndio hao waliolipua bomu?
Hata nyie na lema wenu tunaweza kuja kuwadabua na kuwapoteza ndani kwa muda tukiridhika na maelezo tunakuachia.
Huo ni pulelezi wa analogia. Hizo ni zama za mawe. Afanye mtu ualifu alafu akae hapo, tatizo lenu hmpendi kuumiza vichwa mnapenda vi2 red made.