Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

Kama hupendi kuona wanawake wenye nguo fupi, basi ukiwaona tizama pembeni usiwaangalie tuachie sisi tunaopenda kuwaangalia. Mbona mkeo kuna wakati hana nguo kabisa ukiwa nae nyumbani lakini hulalamiki.
Nchi huru wanawake wake nao waache wawe huru. wewe unavyovaa kata K mbona huulizwi, unavyopiga mziki mnene kwenye bar yako mbona huulizwi, unapopita barabarani umelewa unaimba kilugha mbona hatukuulizi.
 
Wengi wamesahau kuwa kabla ya kuja mzungu utamaduni wa mwafrika ulikuwa ni ama kutembea uchi kabisa au kufunika nyeti tu kwa nyasi. Kwa wanawake nyonyo, wowowo, mapaja nje.

Swali la kizushi...uko kifungoni/gerezani au maana location yako ni nyumbani tangia nikufahamu au hapo home uko self contain mambo yote yanapatikana hapo?Ukimdind....
:violin:
 
Labda wajue tu kwamba kuvaa kwao kunatutesa tu na ikitokea namtongoza asimind.lkn huwezi ingilia uhuru wa mtu
 
Mleta mada acha mambo yako wewe,au umekula maharage ya wapi wewe??acha tuone na kufurahia umbaji wa Mnyaazi Mungu. Hiyo ni fahari ya macho na siku hizi kulivyo na Mabinti wazuri na waukweli raaaha kabisa,kuna hips,miguu,nyonga,tako na viuno vya kila aina iili mradi tuu burudani tooosha. Mtoto awe kwenye min au pedo na mwendo kama twiga,utamtaka....
CC: Alhaj Kipozeo.
 
ww huona mitaa inapendeza kwanza aliyeanzisha madera namchukia sana.

Mkuu mpe hongera pia mleta madela maana nae kaleta burudani tosha na fahari ya macho,madela kuna figure na shape zake za kuvaa bana. Dela avae umbo namba nane then liwe limebana kidogo halafu alibane kwenye chup... Hapo lazima ubane mapumb......
 
Habari zenu ndugu zangu,

Mimi naomba kuanzia leo na kuendelea tuungane kuwakemea wanawake wanao vaanguo fupi kwani mimi naona kitendo hiki hakina maadil kabixa tena wengne utawaona watuvwazma lakin nguo wazovaa sio za maadili kabisa.

Hii sio vizuri kabisa najua wapo watu watasema kama mimi mshamba lakini sio kweli kwanini tunaiga vitu ambavyo havina maadili hata kidogo?

Naomba ungana na mimi katika hili
tuanze kukemea kwanza wanaoandika "x" badala ya "s"
hi sio dalili nzuri, wanaoandika x ni watoto wa kiume sio wanaume
 
Ni kweli ila kabla hujaleta huu uzi ungefikiria haya yafuatayo

1 nchi haina dini
2 wanachi wake wapo huru
4 Kuna uhuru wa kuabudu
5 uhuru wa kuvaa
6 uhuru wa kula

Sasa sijui kama Kuna atakaeweza kuingilia uhuru wa mwenzie maana hata wao wakisema wanachukizwa Na walevi hatuwezi kukemea vilevi kuuzwa

Acha kuandika ujinga
 
Ya kuziba nyonyo na k tu!! Hii ndio anayoitaka mleta mada.

Yaani atoto wengi wanakurupuka na kuja na notion kwamba ati maadili ya Mtanzania.. Tuna maadili gani sisi collectively yanayoitwa maadili ya kitanzania..? Baadhi ya makabila yanakeketa wanawake, nayo ni maadili ya Watanzania..? Baadhi ya makabila yanawaoza watoto wadogo mradi wakishavunja ungo na kuchezwa, ndio maadili ya kitanzania hayo..?

Tuacheni huu unafiki wa ati tuna maadili ya kitanzania..
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahaha mi hawa wanaume ndio wamenichekesha kwenye hiyo video hapo juu... VAA NGUO VAA NGUO VAA NGUO VAA NGUO
 
Yaani atoto wengi wanakurupuka na kuja na notion kwamba ati maadili ya Mtanzania.. Tuna maadili gani sisi collectively yanayoitwa maadili ya kitanzania..? Baadhi ya makabila yanakeketa wanawake, nayo ni maadili ya Watanzania..? Baadhi ya makabila yanawaoza watoto wadogo mradi wakishavunja ungo na kuchezwa, ndio maadili ya kitanzania hayo..?

Tuacheni huu unafiki wa ati tuna maadili ya kitanzania..

Hayo maadili yanasingiziwa kweli sijui maadili gani anayoongelea, kwani kuvaa nguo ndefu ni maadili yetu kuanzia lini? Nani alizileta hizo nguo ndefu?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hyo din yako ww inakurusu kufanya hvyo?

Hata kama hairuhusu itaweza kuingilia uhuru wa wengine???

Mimi binafsi sipendezewi na ningeomba suala hili likemewe na serikali yetu ya magufuli tena waanzie huko maofisini huwa wanatuumiza sana
Mpaka wanatufanya tunasahau shida zinazotupeleka humo ofisini

Mwe!!! Vinakuaga vitamu vimini vyao hata unaweza kusahau magonjwa na kusema liwalo naliweee
 
Habari zenu ndugu zangu,

Mimi naomba kuanzia leo na kuendelea tuungane kuwakemea wanawake wanao vaanguo fupi kwani mimi naona kitendo hiki hakina maadili kabisa tena wengine utawaona watu wazima lakini nguo wazovaa sio za maadili kabisa.

Hii sio vizuri kabisa najua wapo watu watasema kama mimi mshamba lakini sio kweli kwanini tunaiga vitu ambavyo havina maadili hata kidogo?

Naomba ungana na mimi katika hili

Wewe miji yetu hii haina maua na bustani angalau hao ndio wanafanya mji unavutia..usilete itikadi zako hapo.za sitimbi
 
Back
Top Bottom