Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

Kwani we ulivozaliwa ulikuta watu wanavaa magome ya miti.....Kuvaa kwa stara ni busara na ndo tamaduni za kistaarabu...kukaa uchi ni ujinga na wala sio asili ya binadam yyte...kwa maana wote tumezaliwa na ustaarabu tumeukuta kilichifanya watu wavae miti ni technolojia ndogo ya utengezwaji wa nguo Ila baada ya maendeleo ya viwanda vya nguo watu waliistiri mili yao...hakuna asili ya kuishi uchi Ila kuna historia ya MTU kuzaliwa uchi kisha stara ya kuvaa inafuata nano kasema asili yake ni kuvaa mlegezo...au kuvvaa kimini mipaja hadi mikalio inaonekana...hakuna asili ya kukaa uchi kwa binadam yyte yule.....labda awe in mnyama

NUDISM is back ooohhhh......hiyo philosophy yako ya asili na historia haina mashiko. Wazungu wamewaletea nguo sasa wao wanaanza kukaa uchi kabisaa...huku ndo mnaanza kujua nguo fupi. muhaha.

Do you know about nudists? I support them. nina mpango wa kuhama nchi. nikakae na free thikers.
 
Waarabu na wazungu walitukuta tukitembea uchi sasa hayo maadili unayoyasema wewe umeyapatia wapi? anza na wamasai kwanza au wanawake wa kihindi wanaojifunika baadhi ya sehemu na kuacha baadhi ya sehemu
Mambo ya ajabu sana
 
Wengi wanaovaa hivyo huwa hawajiamini kuwa ni wazuri hivyo wanaona bora waachie sehemu ya mwili wao kwa kuvaa nguo fupi au zinazobana ili tu fulani aone kitu fulani kwenye mwili wake..
Akili zao huwa ni ndogo sana na ndo maana mapepo huwafata wao kila mara yaani kwenye watu 1000 wenye mapepo wawili tu ndio wanaume
Sio kweli
 
Huwa najiuliza inakuaje serikali inakemea ngono zembe nakutumia pesa nyingi kuhamasi Sha ogopa ukimwi unauwa

lakini haohao wanaruhusu wanawake kuhamasisha ngono kupitia vinguo vifupi na vima vazi vya uchi uchi Sana ?

Inakuaje hii?
 
Huwa najiuliza inakuaje serikali inakemea ngono zembe nakutumia pesa nyingi kuhamasi Sha ogopa ukimwi unauwa

lakini haohao wanaruhusu wanawake kuhamasisha ngono kupitia vinguo vifupi na vima vazi vya uchi uchi Sana ?

Inakuaje hii?
Mbona kwa wazungu ambapo watu wanatembea karibia uchi kabisa kiwango cha Ukimwi ndio kipo chini??
 
Mbona kwa wazungu ambapo watu wanatembea karibia uchi kabisa kiwango cha Ukimwi ndio kipo chini??
Kwahiyo wewe Yoda unashauri mama zetu wakezetu na watoto zetu wa kike watembee uchi makanisani,misikitini,na barabarani?
 
Back
Top Bottom