Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Acha matusi, ndorobooo weeeee........Mkuu unapoteza muda kuhangaika na malaya wa humu JF, wanatetea upuuzi
Acha matusi, ndorobooo weeeee........Mkuu unapoteza muda kuhangaika na malaya wa humu JF, wanatetea upuuzi
kutamani uzungu ndo kunako haribu maadili ya waafrika.Watu wanavaa mavai ya aibu na anajiona ni right kwake
Wengi wanaovaa hivyo huwa hawajiamini kuwa ni wazuri hivyo wanaona bora waachie sehemu ya mwili wao kwa kuvaa nguo fupi au zinazobana ili tu fulani aone kitu fulani kwenye mwili wake..
Akili zao huwa ni ndogo sana na ndo maana mapepo huwafata wao kila mara yaani kwenye watu 1000 wenye mapepo wawili tu ndio wanaume
We unatamani nini? Uarabu?
Kuwa wanaume wanapenda kuoa waliojigubika siyo kweli. Kila mtu na mapenzi yake.
Unazungumzia nguo fupi au kuvaa vichupi?
Uhalisia wa KItanzania ulikuwaje? wa lini? Watanzania kwa miaka mingi sana walikuwa wanatembea uchi.
Nisaidie kumuongezea hicho anachokiita maadili ya Mtanzania kuna wengine wanaume hawatahiri..kama naye alikosea akatahiriwa aende hospitalini akarudishe ule mfuniko mrefu wa sirini ,kama ni mwanamke basi akakatwe kale kaharag...ili anachokiita MAADILI kitimie nyambaf.kwako miss chagga,masai dada,Arushaone et alYaani atoto wengi wanakurupuka na kuja na notion kwamba ati maadili ya Mtanzania.. Tuna maadili gani sisi collectively yanayoitwa maadili ya kitanzania..? Baadhi ya makabila yanakeketa wanawake, nayo ni maadili ya Watanzania..? Baadhi ya makabila yanawaoza watoto wadogo mradi wakishavunja ungo na kuchezwa, ndio maadili ya kitanzania hayo..?
Tuacheni huu unafiki wa ati tuna maadili ya kitanzania..
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi naomba kuanzia leo na kuendelea tuungane kuwakemea wanawake wanao vaanguo fupi kwani mimi naona kitendo hiki hakina maadili kabisa tena wengine utawaona watu wazima lakini nguo wazovaa sio za maadili kabisa.
Hii sio vizuri kabisa najua wapo watu watasema kama mimi mshamba lakini sio kweli kwanini tunaiga vitu ambavyo havina maadili hata kidogo?
Naomba ungana na mimi katika hili
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi naomba kuanzia leo na kuendelea tuungane kuwakemea wanawake wanao vaanguo fupi kwani mimi naona kitendo hiki hakina maadili kabisa tena wengine utawaona watu wazima lakini nguo wazovaa sio za maadili kabisa.
Hii sio vizuri kabisa najua wapo watu watasema kama mimi mshamba lakini sio kweli kwanini tunaiga vitu ambavyo havina maadili hata kidogo?
Naomba ungana na mimi katika hili
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi naomba kuanzia leo na kuendelea tuungane kuwakemea wanawake wanao vaanguo fupi kwani mimi naona kitendo hiki hakina maadili kabisa tena wengine utawaona watu wazima lakini nguo wazovaa sio za maadili kabisa.
Hii sio vizuri kabisa najua wapo watu watasema kama mimi mshamba lakini sio kweli kwanini tunaiga vitu ambavyo havina maadili hata kidogo?
Naomba ungana na mimi katika hili
mimi huo uroto ndo sitakagi kusikia kabisaa navaa kulingana na mahali nilipo na simaindi uvaaji wa yoyote yule ndo maana ndo kwanza nanenepa ukimindi sNa mambo ya watu unakuwa umekondeeana na mavidonda ya tumboNisaidie kumuongezea hicho anachokiita maadili ya Mtanzania kuna wengine wanaume hawatahiri..kama naye alikosea akatahiriwa aende hospitalini akarudishe ule mfuniko mrefu wa sirini ,kama ni mwanamke basi akakatwe kale kaharag...ili anachokiita MAADILI kitimie nyambaf.kwako miss chagga,masai dada,Arushaone et al
Na hasa ukimind ya wajingawajinga.mfano aliyeishiwa ela ya kwenda kilabuni kupata serengeti za baridi utackia akilaumu ooh unaona yule hataki kufuata maadili ya mtanzania kuacha pombe,ukitumia gari yako kwenda job,oooh anachezea pesa badala angepanda basi...hapo si karibu tu!Yaani ilimradi iwe shida tu amiliki remote ya maisha yako.mie nasema wanitokee viumbe hawa wazito.mimi huo uroto ndo sitakagi kusikia kabisaa navaa kulingana na mahali nilipo na simaindi uvaaji wa yoyote yule ndo maana ndo kwanza nanenepa ukimindi sNa mambo ya watu unakuwa umekondeeana na mavidonda ya tumbo
Wengine wanavaa fupi hadi wanajishtukia na kuanza kuivutavuta wanapotembea barabarani.Inategemea ni fupi kiasi gani. Mm navaa fupi na ya heshima kwa sababu hata mungu hakukosea usafiri wangu so mtuacheeeee!
ukiweza kumind mambo yako haya maisha utayaona marahisi sanaNa hasa ukimind ya wajingawajinga.mfano aliyeishiwa ela ya kwenda kilabuni kupata serengeti za baridi utackia akilaumu ooh unaona yule hataki kufuata maadili ya mtanzania kuacha pombe,ukitumia gari yako kwenda job,oooh anachezea pesa badala angepanda basi...hapo si karibu tu!Yaani ilimradi iwe shida tu amiliki remote ya maisha yako.mie nasema wanitokee viumbe hawa wazito.
mauaji na kutesa watoto wa kazi like hellbadala ya kuwakemea, ni bora kukubaliana na hali na kujaribu kubadilisha mawazo yetu na kuona ni kitu cha kawaida ili hata akipita na kinguo kifupi usisimamishe ovyo ovyo, western countries wanatembea na vinguo vifupi ila cha ajabu ni hizi nchi zetu tunajifanya tuna maadili ila ndo tunaongoza kwa kesi za ubakaji..
Maneno kuntu haya wabongo ni kuwaza ngono kila SAA akiona mtu amevaa nguo fupi au ya kubana. Wakubali kubadilisha mawazo na kuona kawaida. Watanzania kwa kupangia wengine lifestyle hawajambo na kufatitlia ujinga tu. Sasa mtu anamuona Dada kavaa kimini anasimamisha kiboro chake ka sikujiendekeza nini?badala ya kuwakemea, ni bora kukubaliana na hali na kujaribu kubadilisha mawazo yetu na kuona ni kitu cha kawaida ili hata akipita na kinguo kifupi usisimamishe ovyo ovyo, western countries wanatembea na vinguo vifupi ila cha ajabu ni hizi nchi zetu tunajifanya tuna maadili ila ndo tunaongoza kwa kesi za ubakaji..
Maneno kuntu haya wabongo ni kuwaza ngono kila SAA akiona mtu amevaa nguo fupi au ya kubana. Wakubali kubadilisha mawazo na kuona kawaida. Watanzania kwa kupangia wengine lifestyle hawajambo na kufatitlia ujinga tu. Sasa mtu anamuona Dada kavaa kimini anasimamisha kiboro chake ka sikujiendekeza nini?
Na wanaovaa kiheshma na kujisitiri ndo wanao ongoza kwa tabia mbovu.