Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

Tatizo kubwa la nguo fupi as for me ni kupunguza hamu ya kucheza segere. toka asubuhi mpaka jioni unajikuta umeshaona chupi kumi mapaja nk kibao. yani unabakia kuingiza tu.. zeleu wanatuanzishia wenyewe. Eti kapiga kimoja..... sasa atapiga vingapi? wkt vingine kapiga mchana kutwa kwa macho?
 
....wameshafikia hatua ya kuruhusiwa kuoana wewe unazungumzia nguo fupi ? cha msingi lea familia yako katika maadili safi hao wwngine sheria ya nchi ndo inawahusu...
 
Ni kweli ila kabla hujaleta huu uzi ungefikiria haya yafuatayo

1 nchi haina dini
2 wanachi wake wapo huru
4 Kuna uhuru wa kuabudu
5 uhuru wa kuvaa
6 uhuru wa kula

Sasa sijui kama Kuna atakaeweza kuingilia uhuru wa mwenzie maana hata wao wakisema wanachukizwa Na walevi hatuwezi kukemea vilevi kuuzwa

hivi kuna dini ambayo inaruhusu nguo fupi?au uvaaji nguo fupi ni utashi wa mtu mwenyewe?

all in all kuvaa nguo fupi ni ujinga,mwisho wa siku wata tembea uchi kabisa kama wanyama wanavyotembea
 
Ni kweli mkuu maana hata Kimaadili haifai kuvaa nguo fupi!,iwe Kanisani,Msikitini,Ofisini,Mitaani,Sokoni,nk.Nguo fupi hazifai kuvaliwa.
 
Ni kweli ila kabla hujaleta huu uzi ungefikiria haya yafuatayo

1 nchi haina dini
2 wanachi wake wapo huru
4 Kuna uhuru wa kuabudu
5 uhuru wa kuvaa
6 uhuru wa kula

Sasa sijui kama Kuna atakaeweza kuingilia uhuru wa mwenzie maana hata wao wakisema wanachukizwa Na walevi hatuwezi kukemea vilevi kuuzwa
Kwa hyo din yako ww inakurusu kufanya hvyo?
 
Tatizo kubwa la nguo fupi as for me ni kupunguza hamu ya kucheza segere. toka asubuhi mpaka jioni unajikuta umeshaona chupi kumi mapaja nk kibao. yani unabakia kuingiza tu.. zeleu wanatuanzishia wenyewe. Eti kapiga kimoja..... sasa atapiga vingapi? wkt vingine kapiga mchana kutwa kwa macho?
kwel ndug hli ni tatzo xana coz kla mda misur inakuwa bz af ukifka wakat maalua inakuwa imechoka tunahtaj ushilikiano kupinga hli jambo
 
Hiyo kazi ya kupiga marufuku nguo fupi ni bure.mabinti wa siku hizi washaota mapembe...wamewashindwa wazazi na ndugu zao tu huko nyumbani uwaweze we fulani???
 
Kama kuiga ni vibaya basi tuache kabisa kuvaa nguo au turudi kwenye ule utamaduni wetu kuvaa makirikiri yatokanayo na ngozi za wanyama au magome ya miti.Pia hata magari tusipande kama ilivyokuwa utamaduni wetu.

Wengi wamesahau kuwa kabla ya kuja mzungu utamaduni wa mwafrika ulikuwa ni ama kutembea uchi kabisa au kufunika nyeti tu kwa nyasi. Kwa wanawake nyonyo, wowowo, mapaja nje.
 
masai dada, wazungu walitukuta tunavaa vipande vya ngozi kufunika nyeti tu,
wanawake walijifunga kaniki na mabega kuwa wazi na wazee wetu waliona poa.

wanaume wenyewe wabadilike wanavaa visuruali vya kubaba na boxer zakulegea sijui wamezifua na maji moto! ili mradi tu akipita ionekane imetuna, wavae vipisi vya jeans kama zamani.
wakilala wakiamka ni wanawake kizazi hiki msipo angalia mtakufa kwa pressure kisa wanawake
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa ni ngumu maana wavaa hivyo wengi wao hawajiamini. Wanavaa hivyo ili wawaoneshe wanaume kuwa wao nao wamo.....
Huwa nawaambia tu hivi hamuoni wake za maraisi, wabunge hawavai minguo ya hovyo kama yenu...
Tatizo wameiga sana ulaya hata vitu visivyopaswa igwa

Unataka tuige uarabuni? Kule ndiyo wanavaa hovyooooo....
 
Kwel ndug me huwa naumia xana nikiona mwanamke amevaa nguo za aina hyo tena wengne wakubwa kwang lakin unakuonesha had nguo yake ya ndan heshima iko wap af mtu hyohyo ukiomuonesha dalili ya kumtongozakkidogo tu anakwambia hauna adab.naomba tuungane kukemea hli jambo

Hamia uarabuni...........
 
hizi starehe za watu bana wanaenda kukaa milango ya kuingilia shopping malls kuangalia vimini na wanasuuzika mioyo yao.
 
Back
Top Bottom