Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Mini inatakiwa ifike katikati goti na kiuno juu.. unapofungia sketi..
Sasa hiyo tunaitaje?
Mini inatakiwa ifike katikati goti na kiuno juu.. unapofungia sketi..
Hii inatakiwa ianze mwanzoni kabisa. Mtoto ukimlea vizuri na kumueleza utu wake. Hawezi kuja kujiaminika mipaja nje. Wengi wanaojianika ni watu wasiojiamini ndo maana wanaanika miili yao ili wapewe sifa au kutamaniwa
Ndo mana me naomba tushilikiane kulikemea jambo hli
kwel upo xahihi wanaiga vbaya lakin me naamin kama tutakuwa na msimamo m1 bac wanaweza-kubadilikaKwa sasa ni ngumu maana wavaa hivyo wengi wao hawajiamini. Wanavaa hivyo ili wawaoneshe wanaume kuwa wao nao wamo.....
Huwa nawaambia tu hivi hamuoni wake za maraisi, wabunge hawavai minguo ya hovyo kama yenu...
Tatizo wameiga sana ulaya hata vitu visivyopaswa igwa
kwel upo xahihi wanaiga vbaya lakin me naamin kama tutakuwa na msimamo m1 bac wanaweza-kubadilika
Unamaanisha nn ndug ua hili jambo halijakugusa hata kidogo
Kusema ukweli Mwenyezi mungu mwenyewe anatuamrisha tuvae mavazi yenye stara mbele ya jamii kwa maana mwanamke kuvaa nguo fupi na kuonyesha mapaja ni kujirahisisha tu hakuna namna nyingine.machangudoa ndo wanaovaa nguo fupi ili kuvutia wateja sasa kama mwanamke yeyote akivaa hivyo ana tofauti gani na makahaba wanaojiuza?uhuru gani wa mavazi wa kipuuzi namna hii?
Tatizo mengine ni 'cross cutting'.dunia ingekuwa sehemu salama sana kama kila mtu angemind mambo yake
mimi naomba niliweke jambo hili wazi kwanza kabisa nitangaze kwamba mimi ni (Mkristo)
naomba sasa nijikite kwenye mada:
katika tafiti zangu nimegundua wanawake wa kikrito walio wengi ndio wanao vaa bila kuzingatia maadili tofauti na wanawake wa kiislam,
napenda kuwapongeza sana wanawake wengi wa kiislam kwa kuvaa nguo za heshma na kijisitiri miili yao wanapendeza sana sana,na inaleta uthamani wa mwanamke,
ushauri wangu kwa wanawake wa kikristo walio wengi wasiopenda kuvaa nguo za heshma na kujisitiri,
kwanza kabisa ni kujitambua kwamba kuvaa nguo zisizo na heshma ni kujidhalilisha mbele za mwanaume, kwani cc wanaume walio wengi watakapo kuoa utafuta mwanamke anayependa kujisitiri mwili na mwenye heshma,
bali hawa wanao vaa vichupi walio wengi hawaolewi bali utamaniwa kwa zinaatu na sio kuoa kama mke, kwaiyo ni vyema wakabadilika na hata kuiga kwa wanawake wa kiislam kuvaa kwa heshma, tusipende kuiga sana tabia mbaya za wageni hembu turudi kwenye ualisia wetu wa kitanzania,
Ok..so fupi anazoziongelea mtoa mada zinaishia chini ya kitovu ama??
Mimi nimeanza na mpenzi wangu na havai hizo nguo hao wengine wasionihusu nitajitakia matusi ya bure. Mungu atawaokoa
Sawa ndug umeeleweka vzur lakin ili kuliweka hli jambo vzur ni vyema tuctaje wanawake wa iman gan ndo wanavaa vbaya xana wte tuwafanye xawa af tuungane kwa moyo m1 kukemea jambo hli