Tujulishane tabia za wachaga

Tutumie jukwa hili jili kwa yeyote aliye na sera za udhalilishaji dada zetu tupambane nae. Washenz tu watabia. Hichi kitu cha kutoa O" mbona kila mtu anakishadadia? Watieni madole wanaume walio na element ya kuwadhalilisha! Watatia akili

wengne wanakuja kudhalilisha kwa machungu ya kupewa kibuti basi wataongea hadi vya uongo utafikiri wao ni malaika wanafkri kupata demu kule ni rahisi na njaa zao kwanza wanaume wanaolia lia huku wako weak ndo mana kupoza machungu wanakuja huku lakn haisaidii sana mana wachaga kila siku waolewa
 

Umeolewa? Umeolewa na mchaga?
 
Wachaga wana juhudi sana ktk mambo ya maendeleo pia wengi wao ni wazuri wa sura,ILA kiukweli wamachame wana hasira sana na ukatili,wamarangu wengi ni wasomi na wengi wao wana dharau,nina ushahidi kabisa ktk hayo,mshauri kama ni kuoa akaoe Mrombo.
 
mh siamini watu wa karne hii bado mwachambua watu kikabila.. then ikusaidie nini?
 
Katika kundi la wanawake wenye kuweza mahaba na yale mambo moto ya Tanga, wa Kichaga hana maujuzi sana.

Ukiona mwanaume anawasema vibaya wanawake wa Kichaga ujue huenda anatoka maeneo ya watu legelege, wanaokaa barazani wakicheza bao kutwa nzima. Na kama wewe ni mwanaume wa aina hii na umependa toto la Kichaga, basi uwe tayari kuchapa kazi kama yeye, uwe mtafutaji walau umkaribie baba mkwe. Hapo mambo yatakunyookea.

Kama ilivyo kwa wanaume wa Kenya kupendelea zaidi wanawake wa mpakani (Kilimanjaro/Arusha) kuliko wale wa kwao (Kenya), sishangai mtu wa Pwani akisema wanawake wa Kichaga ni wakatili (=ngangari, wenye msimamo).
Mtaanza kusema wanamke wa Kenya wana roho ngumu sio?
 

Nilichokuwa nafikiria kipo humu jamvini kumbe!
 
Chagaz ni Watu wenye mtazamo wa pesa...wao wanaona tu pesa maswala mengine badae
 
 
Tena wa sikuhizi unamuoa, kazi anayo unamletea pesa ndani, kodi mazagazaga unaleta ndani, yeye anajiuza na pesa anapeleka kwao, hawafai kabisa wachaga wote
 
Mwishowe mtagundua kwamba hakuna mtu anaitwa mchaga. Kuna Mrombo, Mmachame, Mmarangu, Mmuru, Kibosho nk.

Hao ni watanzania tu.
 
Tena wa sikuhizi unamuoa, kazi anayo unamletea pesa ndani, kodi mazagazaga unaleta ndani, yeye anajiuza na pesa anapeleka kwao, hawafai kabisa wachaga wote
Mwisho wa kufikiria huo? Mnatia aibu aisee Kwa reasoning zenu.
 
duh anothee chaga thread... kaka kama unataka kupata mke ama sttle ya kuish na wachaga kwa kuwajua kupitia mitandaon utakuwa umekosea... tabia zinatofautiana mtu had mtu.. tabia za kiasil zipo chache sana tena siku hz zinazid kupotea si kwa wachaga bal kila kabila tz... kama yy huyo kaka kaka yako ni smart enough kichwan haina haja ya kuanza kutafuta matabia ndo utazid kumiss lead mwache ajichanganye kwenye society ili ajifunze mwenyewe unaweza ukamwambia ambavyo sivyo ilivyo ama tabia ambayo utaambiwa wachaga wanayo utakayotaka kumuonya nayo kumbe yy ndo anayo hiyo tabia.. katika maisha tuna hi adjust kutokana na mazingira ndo maana utaona wachaga wako kila kona wanapiva biashara wakifika huko ugenini wanaendana na wenyej lifestyle yao hii ndo sheria mama ya kuish popote huwez kuosh katikakat ya jamii ngen ukaleta lifestyle yako mwenywe utapata shida
 
mimi sisemi kitu kuhusu kabila langu,huyo kaka ako akifika atajionea mwenyewe hapa kuna jehu moja nalisubiri liropoke tu maana kuanzia asubuhi kaamka na wachaga!!..

likikuchoma kanitangazee!...
haha inaelekea unamsubir kwa ham huyo mwehu unaona kama ukianza kuwajibu wengine utamaliza wino wa simu/ pc.... hahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…