Tujulishane tabia za wachaga

no offense,but tunayaona kwenje jamii yetu,baba angu mdogo ashanusurika kwa mwanamke wa kimachame..

No offense ila unaonekana ni yule mwanamke ambaye anatamani kuolewa na ndugu zake, kaka, mjomba, ba mdogo n.k, hamtaki waoe watu wengine, akija mnyakyusa mtasema uso mpana, mrangi/msukuma/muiraq ni malaya, wazaramo malaya wanapenda sana ngoma na ngono, wakinga/watu wa tanga wachawi too much bullsh*t to take with generalization
 

Mkuu kama kaka yako anaenda kufanya kazi TPC hawezi kukutana na mwanamke wa kichagga wala usiwe na wasi wasi hela za miwa ziko salama
 

Huyo jamaa yako Ana-inferiority complex , hivyo simshauri aoe Mchagga . yeye aende akakate miwa TPC na kurudi kwao kuchukua mke. wa kabila lao. Anaonekana anaelimu finyu sana ndio maana anahusudisha ukabila. Pia inaonyesha hajatembea.Akaoe kijijini kwao ili asije akapata mwanamke akamsumbua akaamini ni kwakuwa ni mchagga
 

kweli kabisa mkuu
 
wooooooooooooooo ma ndede,kwahiyo sitapata mume ndao kwasababu ni mchagga? poor me,yeuwiiiiiiiiiiii watu mna fikra hasi kuhusu kabila letu duh! kwastali hii tuatawowana wenyewekwa enye kwaababu tunajua.
 
Mbona mnalisakama sana kabila letu? Mnataka nini? Tutaanza utaratibu wa kusajili makabila mengine mjiunge kuwa wachaga wa kujiandikisha. Kila siku wachaga wachaga, madem wa kichaga madem wa kichaga! Tatizo nini? Gere au?
 
wanatuchafua bana

Na nyie dada zetu mnatoka wapi na hawa chasaka? Wanawadhalilisha. Tufike mahali tuwe kama wahindi, wahindi wana linda sanaila na desturi za kwao. Kila mara utasikia madem wa kichaga wanatoa "O" nakereka sana. Kama imeshindikana akikuomba ndogo mwambie nay awe tayari umtie dole gumba kwenye O yake.
 
Mbona mnalisakama sana kabila letu? Mnataka nini? Tutaanza utaratibu wa kusajili makabila mengine mjiunge kuwa wachaga wa kujiandikisha. Kila siku wachaga wachaga, madem wa kichaga madem wa kichaga! Tatizo nini? Gere au?

hadi wanakera wamefikia pabaya hzi chuki za Watanzania zimefka pabaya unakuta jitu zma linaongea pumba halijui chochote ila ameskia tu
 
hadi wanakera wamefikia pabaya hzi chuki za Watanzania zimefka pabaya unakuta jitu zma linaongea pumba halijui chochote ila ameskia tu

Tutumie jukwa hili jili kwa yeyote aliye na sera za udhalilishaji dada zetu tupambane nae. Washenz tu watabia. Hichi kitu cha kutoa O" mbona kila mtu anakishadadia? Watieni madole wanaume walio na element ya kuwadhalilisha! Watatia akili
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…