Tujulishane tabia za wachaga

Tujulishane tabia za wachaga

Wanawake wa kimachame wanasifika kwa roho mbaya na kuua waume zao,
wanaume wa kichaga ukimzingua anakupiga na bastola(anakuufoosaro)

Aiseeee

Wakati unaandika haya ulijaribu kutumia hata miguu yako kufikiri?
 
Mwambie aoe ila atafute mwanasheria wake lolote laweza tokea,aandike urithi kama anavijisenti,akaunt yake inasoma sh,ngapi,aende na bank statement ili kuthibitisha kweli anahela...loading error...

kwa nini mnakwepa ukweli mwanamke wa kichaga ni chapakazi hawezi tingishwa na vijihela vya mwanaume coz ukizaliwa unafundishwa kijitegemea, ndio sababu wengi wao hawakubali kunyanyasika mwanaume akileta jeuri yeye anachapa mwendo!
 
Mwambie kaka ako aje mwenyewe!!!
Ndo namshanga jamaangu uyu au kakake ni mlemavu kama vile kpofu,kiziwi ,bubu hawezi kuja huku!Ila kwa kifupi nisaodie kumwambia hao wa huko wanapenda pesa,maendeleo na wako cost conscious.
 
Wanawake wa KICHAGA ni wakukaa nao mbali na kuwaogopa kama ukoma! Hawafai hata kulumagia, Siwapendi hao shwain
 
no offense,but tunayaona kwenje jamii yetu,baba angu mdogo ashanusurika kwa mwanamke wa kimachame..

yye baba ndio alikuwa mwenye matatizo alaa mtu asijihami!!!!!! ati mnasema wanaua
 
no offense,but tunayaona kwenje jamii yetu,baba angu mdogo ashanusurika kwa mwanamke wa kimachame..

Umenichekesha!!! Je unajua maana ya sampling??? Hiyo sample ya mtu mmoja(uliposema baba ako amenusurika) inatosha ku conclude kwamba wote ni wauwaji????
 
Wanawake wa KICHAGA ni wakukaa nao mbali na kuwaogopa kama ukoma! Hawafai hata kulumagia, Siwapendi hao shwain

hata ucipowapenda umewapunguzia nini au kuwaongezea nini ndo kwanza wanadunda na kufanya kazi kwa bidii we endelea kuwachukia tu
 
uko TPC kuna watu mchanganyiko wala hutajua kama upo chaga land

True say man...TPC sio uchagani...na panaitwa Arusha chini kwa jina lingine........labda kama angekuwa anaenda kufanya kazi Kibosho, Machame, Rombo, Marangu n.k.
 
ilikuwa zamani na hakuna mwenye uhakika na hizo habari mbona yapo makabila kibao wanawake wanaua waume zao? usiwajengee chuki wamachame

mnisamehe bure,ndo yanayosikika huku mitaani abt you,sina maana ya kuwajengea chuki jmn
 
Ngoja nikujibu kwa ujumla.

Ndilo kabila bora zaid hapa Tanzania kwa kusaka,kuwekeza na kutumia hela ipasavyo.

Wanafanana saaana na wa Scottish wa UK na wayahudi ukiwa nao karibu utabarikiwa tu.
 
mnisamehe bure,ndo yanayosikika huku mitaani abt you,sina maana ya kuwajengea chuki jmn

badilika sio kila unachosikia kina ukweli ndani jifunze kuamini kile ulichokihakikisha umewai kusikia mangapi mabaya na ambayo sio kweli? hebu aje aliyewai kuuliwa na mchaga atuhakikishie hili mjadala ufungwe!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom