mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,427
- 10,029
Aliye mquote hapo JuuYupi mkuu?
Aliye mquote hapo JuuYupi mkuu?
Haahhah na wanaume ni njiwa eti?Wanawake ni kunguru, hawafugiki. Ni vigumu kujua ni nini hasa wanawake wanahitaji kwa kuwa akili zao wanazijua wao wenyewe. Tuzidi kuwaombea.
ha ha ha naamini wote wako mature watakayoyaamua wameamua wao...hayo ndio maisha mkuuSoma post zake anajifanya mtakatifu Sana
Kwa wanawake kumbe kuna mtu anaviziwa
We check wanawake wanavo msifu kwa nyimbo na mapambio
Hahahaha hizi ligi zenu humu ndani zinanifurahisha sana hapa kakosekana marianah tuAliye mquote hapo Juu
Soma post zake anajifanya mtakatifu Sana
Kwa wanawake kumbe kuna mtu anaviziwa
We check wanawake wanavo msifu kwa nyimbo na mapambio
Navyodhani anything apart from usaliti na vipigo...Makosa gani yanaweza kuvumilika?
SinaLeta wazo mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safi naona kuku Bado kidogo aingie mkenge aliwe
Kijana jitahid mzee baba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa ana technic kali kinoma lazima atoke na mtu hapa
Naona mnavoingia kwenye mtego
Ngoja na mimi nitumie hii technic
Sina mkuuTupe uzoefu mkuu
Kwasababu ya ukomavu. Ingawa sio constant... wengine wanakuwa single mama ila bado ni wasumbufu, ila hawa ni wachache na ukitazama kwa umakini utaona hawajajua maisha bado.. wala hawaoni maana ya kuishi kwao.
Sio kila single mother alijikwaa, wengi wameumizwa tu na mabaharia. Kwaiyo wengi wanapo kutana na hizo kashi kashi huwa wana pitia changamoto flani ambazo huwa hawapo tayari zijuridie kwa namna yoyote. Japo sio kwa wote, kuba wengine ni wehu by nature.
Uzoefu wangu ! Single mother ambao nawafahamu wengi wapo flesh sana ... sijawahi sikia shida zao hata walipo ingia kwa mahusiano mapya japp sio.kwa wote pia.
ha ha ha ha haya tuwe wapenzi watazamajiSina mkuu
Ni MajogooHaahhah na wanaume ni njiwa eti?
Mahusiano yanahitaji busara sanaNavyodhani anything apart from usaliti na vipigo...
I thnk ts wise kuvunja ndoa ama mahusiano in an event of infidelity or physical abuse
Mengine sijui hajibu msgs.,hamtoki out,anakujibu vibaya,hamfanyi tendo nk nk jipe mda kidogo uyarekebishe
Sawa ila jamaa anazunguka Sana na sisi wanaume tumuone mtakatifuha ha ha naamini wote wako mature watakayoyaamua wameamua wao...hayo ndio maisha mkuu
Nimecheka sanaa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uongo acha fix mzee baba Kama umempenda Nenda straight acha fix zako uchwara aise
No ligi here!!!Hahahaha hizi ligi zenu humu ndani zinanifurahisha sana hapa kakosekana marianah tu
Msitukanane lakini tujadili kwa amani tu
No Sina wivu coz namke wangu humu siwez tongoza mwingineUnamuonea wivu kumbe sasa si umuigilizie au?
Single mother ni wazuri sana. Na ninacho wapendea ni maturity yao, huwezi kuta wana mambo ya kijinga kijinga. Japo sio kwa wote... ila wengi wao huwa wapo vizuri kuanzia malezi ya watoto , familia etc... wanao waponda single mother ni utoto tu, wakikuwa wataachaa [emoji41][emoji41][emoji41]
ha ha hahaSawa ila jamaa anazunguka Sana na sisi wanaume tumuone mtakatifu
Kama anampenda amwambie tuu