Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Hahahaha mbele tembea nyuma geuka mkiudhiwa sasa unatuma sms leo inajibiwa keshokutwa....ujitie ke unampanda kichwani sasa uje uone utafurahia show km hujabaki single milele

Nyie watu hapana sema ndo hivyo mko watamu kiaina

Hahaha..!! Kimahusiano Sisi ni watamu mno sio kiana tu.

Sisi hata ubabe wetu uko romantic kiana

Halafu ukionja taste yetu hutatamani tena kurudi kwa wanaume aina ya mleta mada. kapeace [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Hahaha..!! Kimahusiano Sisi ni watamu mno sio kiana tu.

Sisi hata ubabe wetu uko romantic kiana

Halafu ukionja taste yetu hutatamani tena kurudi kwa wanaume aina ya mleta mada. kapeace [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Kwel mkuu Unakwama wap tukusaidie mzee baba??
Usizunguke mbuyu dem mwenyewe kakuelewa Sana
Mbarika igilizia mbinu sio unakaza tu muda wote huoni leo lizarazu alivyochangamka kumbe anatupendaga basi tu ndo vile ukauzu
 
Single mother ni wazuri sana. Na ninacho wapendea ni maturity yao, huwezi kuta wana mambo ya kijinga kijinga. Japo sio kwa wote... ila wengi wao huwa wapo vizuri kuanzia malezi ya watoto , familia etc... wanao waponda single mother ni utoto tu, wakikuwa wataachaa [emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_20190913_142614.jpeg
 
Tunawavumilia mkiwa chini na hizi flat zetu mkizipata mnataka chura wa kunesa nesa, bora kubaki single
Umeongea points za hisia kwa niaba ya ke wenzako ila jitahidi ukimpata wa kuendana nawe mvumilie, usifike utu uzima zaidi ukiwa single.

Au ukipenda kuingia utu uzima ukiwa pekee, u- struggle uwe na uchumi mzuri kiasi.
 
Usingle sio mzuri na umaskini nao si mzuri muhimu ni penye kuweza kuvumilia basi tuvumiliane hakuna mkamilifu ila kuna matukio hayavumiliki
Umeongea points za hisia kwa niaba ya ke wenzako ila jitahidi ukimpata wa kuendana nawe mvumilie, usifike utu uzima zaidi ukiwa single.

Au ukipenda kuingia utu uzima ukiwa pekee, u- struggle uwe na uchumi mzuri kiasi.
 
Mbarika igilizia mbinu sio unakaza tu muda wote huoni leo lizarazu alivyochangamka kumbe anatupendaga basi tu ndo vile ukauzu
Mbarika anaonekana ana mbinu kama za mgambo, anajikuta hardcore!

Inatakiwa aigilizie tu kwakweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai

Wanawake ni kama chupa ya chai huku kwetu uswazi usipoifadhia chai basi kuna siku utaifadhia chumvi.. Hata uwadisi vipi ila huitajikaji wao uko pale pale.
 
Back
Top Bottom