Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Siku hizi tunaachana kwa ambayo ni madogo mno..yaani mkigombana ke anasubir me ajirudi na asipofanya hivyo ni justification ya kuwa hakua na pendo...uliza wengi swali hili je sababu iliyowaachanisha ex wako unadhani inajitosheleza kuwaachanisha .....
 
Hebu kuwa practical, hiyo nafasi inapatikanaje? How? Ukisoma nyuzi za kudiscourage kuoa single mamaz unaconclude single mama wengi tutabaki single.

Please lay down a plan and strategy for singles not to remain singles for the rest of their lives; particularly single mothers.
Kuna wanaume walikwisha umizwa kwenye mahusiano,wakimpata single mstaarabu na muelewa maisha yanasonga
 
Siku hizi tunaachana kwa ambayo ni madogo mno..yaani mkigombana ke anasubir me ajirudi na asipofanya hivyo ni justification ya kuwa hakua na pendo...uliza wengi swali hili je sababu iliyowaachanisha ex wako unadhani inajitosheleza kuwaachanisha .....
Tatizo hapo litakuwa ni ukomavu katika mahusiano;kila mmoja anaishi kwa kumpima mwenzake
 
Kina lizarazu watasema unaniwinda

Hongera kwa mtizamo mzuri kuna wanawake wamejeruhiwa sana sasa wakikutana na kina lizarazu wanachanganyikiwa kabisa walau hivi mtizamo kama wako unawapa ahueni wanaume wote mngekuwa hivi hata rate ya masingle mama ingekuwa chini......ila saaaasaa
Unafikiri ni kitu gani kinasababisha mtu kuwa single
 
Wa kwanza rest in Paradise
Wa pili tuliamua wenyewe kuachana sababu ya dini ' hakuna aliyekuwa tayari kumfata mwenzie.
Wa sahivi ' sir God tusaidie tufike tunapotakiwa kufika 🙏
Jitahidi usimpoteze mkuu, jua linakaribia kuzama
 
Hahahahha nikwambie tu mi napenda sana mwanaume aina yako sababu ndo mood yangu ilipo yani ni mbele tembea nyuma geuka ukinuna hubembelezwi ukizubaa umeliwa ila sasa usiwe serious hivyo muda wote

Nilikumiss tu nikaona nikuite
Hahahahha[emoji1787][emoji1787] halafu wanaume kama mimi tunakuwaga tunajua kweli mahaba na ubandidu wetu huu.

Tukizama penzini na wewe hadi unajihisi wewe ndio mmiliki wa hii dunia, unaweza ukahisi wewe chumbani kwako ni kwenye space huko hapa kwenye uso wa dunia ni sebuleni pakujambia tu kisha unarudi zako chumbani.

Tena ukiwa na mimi ndio utaenjoy sana maana mahaba utakayopata hapa hata yale ya Julieth na Romeo yanasubiri

[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Kwahiyo ni mwanamke tu ndiye anaachwa na mwanaume tu ndiye muachaji sio?
 
Kuna wanaume walikwisha umizwa kwenye mahusiano,wakimpata single mstaarabu na muelewa maisha yanasonga

Unaposema mtu ajitahidi, hasa mwanamke, asizeeke single unataka afanye nini hasa?

Ukweli ni kwamba wanawake wanasubiri kufuatwa au kutafutwa na wanaume? Mwanamke hata kama anamjua mtu ni single father au just single man hawezi kumtaka waanzishe uhusiano serious. Atapewa jina na nakunangwa. Anasubiri kuolewa, man, single mama wengi watasubiri hadi uzeeni kama hakuna mwanaume anayemtaka kumuoa.
 
Siku hizi tunaachana kwa ambayo ni madogo mno..yaani mkigombana ke anasubir me ajirudi na asipofanya hivyo ni justification ya kuwa hakua na pendo...uliza wengi swali hili je sababu iliyowaachanisha ex wako unadhani inajitosheleza kuwaachanisha .....
Ukweli ndo huu
 
Hii sasa ivi ipo karibia dunia yote, hata huko ulaya ipo. Kinacho saidia kwa wachache wetu kuwa na mitazamo hii, kwasababu tumekuwa tukiona baba ana muheshimu mama na ku mtreat kama malkia, hatukuwahi sikia mama yetu ana hoja mbaya zidi ya baba yetu wala hatujawahi sikia majibishano ya wazazi wetu, the same kwa baba kila mala alikuwa akimsifia mama yetu hatujawahi sikia kasolo yoyote ya mama kutoka kwa baba... hili ndio ambalo lime tujenga... tofauti na familia nyingi . Huku chini ni tafrani
Woooiiiii wanaume wote wangekuwa kama wewe dunia isingekuwa tambala bovu
 
Back
Top Bottom