Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,293
Reaction score
62,485
Kwa wewe mwanamke kwa nini uliachwa na mpenzi wako wa kwanza au kwa nini unaendelea kuachwa? Na wewe mwanaume kwa nini ulimuacha mpenzi wako au kwa nini unaendelea kuacha?Haya maswali yanahitaji majibu ili tujirekebishe kabla hatujawa wazee au jua kuzama tukiwa single.
 
Hiyo ianchangia kwa kiasi flani, ila tatizo lingine watu wanaaanza kushiriki tendo wakiwa bado wadogo sana, hadi kufikia mda kuingia kwa ndoa unakuta hawa feel raha ya ndoa kwasababu mahitaji ya ndoa wameyapata tokea mtu akiwa na miaka 18+... kwake inakuwa haina maana... na ukikuta na anamtoto ndio basi
Kuna ukweli,ingawa mi nadhani zaidi ni tamaa ndio maana wadada wengi wanakimbilia kupenda pesa kabla ya utu
 
Hapo kwenye kizazi cha nyoka kupajua ndo mtihani, akizipata anaanza kusema hawaendani, ndo maana hali imechafuka kila jinsia ni kumfanyia timing mwenzie mapenzi ya kujitoa hayapo tena
Wapo ambao wana heshima, na pale wanapo pata mafanikio wanazidi sana kua na upendo na familia na heshima kwa mke na familia. Ila ukipata kizazi cha nyoka utakomaa
 
Tamaa kila mtu anayo, na hakuna asie penda pesa. Maana pesa ni jawabu la mambo yote. Pia unapo ona mwanamke ana kosea ujue mwanaume yupo nyuma ya hayo makosa, maana mwanaume ni leader kwa mwanamke, so kama kiongozi akiwa boya unategemea nini kwa anae muongoza ?
Ngoja Lizarazu aione hii atakuita mwanaume bwege
 
Tamaa kila mtu anayo, na hakuna asie penda pesa. Maana pesa ni jawabu la mambo yote. Pia unapo ona mwanamke ana kosea ujue mwanaume yupo nyuma ya hayo makosa, maana mwanaume ni leader kwa mwanamke, so kama kiongozi akiwa boya unategemea nini kwa anae muongoza ?
Sasa mkuu nini kifanyike
 
Duh

Mi sijui nisaidie basi
Ukijaribu kwenye mapenzi kujitoa, ujue umejimaliza mwenyewe. Katika mapenzi anae takiwa kujitoa ni mwanaume, sasa kama wewe mwanamke una kihelehele cha kujitoa tegemea maumivu makali hadi ukome. Kujua kizazi cha nyoka ni rahisi sana labda uwe huna akili nzuri
 
Back
Top Bottom