Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Sure
We gotta make some efforts to make changes , right ?
Because that is why we are still alive.
 
Mbarika anaonekana ana mbinu kama za mgambo, anajikuta hardcore!

Inatakiwa aigilizie tu kwakweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai

Wanawake ni kama chupa ya chai huku kwetu uswazi usipoifadhia chai basi kuna siku utaifadhia chumvi.. Hata uwadisi vipi ila huitajikaji wao uko pale pale.
Mkuu Bora mimi mgambo ww sungu sungu poor technic
 
Hatimaye wembe umeangusha mbuyu, hebu ongeza sauti kidogo mbarika asikie ye mwenyewe umeona bado karudi pale pale kaanza na kutudolishia mwanamke aliyembariki kuliko wote duniani

Sie ni sehemu ya mbavu zenu mtuvumilie
Dada nampenda Mke wangu sanaa aise
 
Dada Hakuna kitu kizur dunian Kama kupendwa rahaaa Sana

Halafu na mambo yetu yale acha tuu nisitoe Siri za ndan
Njoo pm unambie ili na mie huyu niliyenae anibariki kuliko wanawake wote duniani
 
Midlife crisis victim....😀😀😀

Yoo double R watsapp...

Amishuuu, get ready next weekend will kidnap you....

Midlif Krisis weeeh aahahahahahahahaa

Matata Platinum.
 
Back
Top Bottom