Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Hahahaha mbele tembea nyuma geuka mkiudhiwa sasa unatuma sms leo inajibiwa keshokutwa....ujitie ke unampanda kichwani sasa uje uone utafurahia show km hujabaki single milele

Nyie watu hapana sema ndo hivyo mko watamu kiaina
Hahahahha[emoji1787][emoji1787] halafu wanaume kama mimi tunakuwaga tunajua kweli mahaba na ubandidu wetu huu.

Tukizama penzini na wewe hadi unajihisi wewe ndio mmiliki wa hii dunia, unaweza ukahisi wewe chumbani kwako ni kwenye space huko hapa kwenye uso wa dunia ni sebuleni pakujambia tu kisha unarudi zako chumbani.

Tena ukiwa na mimi ndio utaenjoy sana maana mahaba utakayopata hapa hata yale ya Julieth na Romeo yanasubiri

[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Hahahahha[emoji1787][emoji1787] halafu wanaume kama mimi tunakuwaga tunajua kweli mahaba na ubandidu wetu huu.

Tukizama penzini na wewe hadi unajihisi wewe ndio mmiliki wa hii dunia, unaweza ukahisi wewe chumbani kwako ni kwenye space huko hapa kwenye uso wa dunia ni sebuleni pakujambia tu kisha unarudi zako chumbani.

Tena ukiwa na mimi ndio utaenjoy sana maana mahaba utakayopata hapa hata yale ya Julieth na Romeo yanasubiri

[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Uongo acha fix mzee baba Kama umempenda Nenda straight acha fix zako uchwara aise
 
Jamaa ana technic kali kinoma lazima atoke na mtu hapa
Naona mnavoingia kwenye mtego

Ngoja na mimi nitumie hii technic
Ipi hiyo mkuu....hapa tunacheka tu mkuu,maradhi ni mengi maisha matamu pia
 
Unaposema mtu ajitahidi, hasa mwanamke, asizeeke single unataka afanye nini hasa?

Ukweli ni kwamba wanawake wanasubiri kufuatwa au kutafutwa na wanaume? Mwanamke hata kama anamjua mtu ni single father au just single man hawezi kumtaka waanzishe uhusiano serious. Atapewa jina na nakunangwa. Anasubiri kuolewa, man, single mama wengi watasubiri hadi uzeeni kama hakuna mwanaume anayemtaka kumuoa.
Wapo wanaojitambua kabisa wanakuwekea mazingira
 
Wanawake ni kunguru, hawafugiki. Ni vigumu kujua ni nini hasa wanawake wanahitaji kwa kuwa akili zao wanazijua wao wenyewe. Tuzidi kuwaombea.
Ni kweli mkuu
 
Nahisi style za maisha ya sasa yanachangia sana, ndio maana utaona let ya watu kuachana kushuka miaka ya 70... ni ndogo kulinganisha na 80 kuja juu...
Duh i saayyy[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] "let" ndo nn mkuu naomba usiwe umemaanisha rate maana dah
 
Back
Top Bottom