Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,582
- 12,444
Wanaume tunavumilia mengi Sana na huwa hatuongei!!Sio kila kosa muachane
Mengine vumilieni
Mnavumilia ya kawaida tuWanaume tunavumilia mengi Sana na huwa hatuongei!!
Lakini ukichepuka nikajua au nikapata habari unachepuka ni Bora niwe nanunua malaya tu ifahamike moja.
HADI SASA HAKUNA TAFITI ZINAZOONYESHA MADHARA YA MOJA KWA MOJA KUWA SINGLE HADI KIFO AMA UZEEEKwa wewe mwanamke kwa nini uliachwa na mpenzi wako wa kwanza au kwa nini unaendelea kuachwa? Na wewe mwanaume kwa nini ulimuacha mpenzi wako au kwa nini unaendelea kuacha?Haya maswali yanahitaji majibu ili tujirekebishe kabla hatujawa wazee au jua kuzama tukiwa single.
Hili suala halihitaji utafiti,bali ni wewe mwenyewe ujipime tu......ni sawa na ushinde bila kula huku ukitegemea watafiti ndio waje wakupe majibu ya kuwa wewe unahisi njaaHADI SASA HAKUNA TAFITI ZINAZOONYESHA MADHARA YA MOJA KWA MOJA KUWA SINGLE HADI KIFO AMA UZEEE
Sijui tu ila leo wacha niseme, hua nafurahishwa sana na michango yako, namna unavyoandika inaonyesha una hofu ya Mungu na umelelewa katika maadili sijui nje ya keyboard ukoje ila maandishi yanaashiria hivyo....God bless youKwa akili zangu na mawazo yangu, mkabidhi Mungu mambo yako yote, usitegemee akili zako na nguvu zako tu, kwa mambo usiyo yajua hasa ya mbeleni, ila kama utamkabizi Mungu, maana yeye anajua baadae yako atakufanyia wepesi, haimaanishi hutokutana na changamoto za hapa na pale.
Mbili, nidhamu inatakiwa irudi kuanzia ngazi ya nyumbani kwenu .. kwa baba na mama yako, jamii kuwa na maadili huanzia ngazi ya nyumbani.
Tatuu, jifunze kutambua athari za hayo mambo kwa undani kabisa, alafu weka mzani u balance ujue kipi kinafaa na kipi hakifai
ha ha ha ha kazi kwenu sasa
MADHARA YA KUSHINDA NJAA YANAJULIKANA HAYAHITAJI MASTERS AMA PHD KUYAJUA, HAKUNA MAHALA PALIPOSEMA KUSHINDA SINGLE MAISHANI KUNA EFFECT, MASUALA YA KUJIPIMA UNAJIPIMA WEWE KUJILINGANISHA NA NANI?? NA KWA NN?? LEAVE MARRIED OR SINGLE NI INELASTIC LIFE CHOICE.Hili suala halihitaji utafiti,bali ni wewe mwenyewe ujipime tu......ni sawa na ushinde bila kula huku ukitegemea watafiti ndio waje wakupe majibu ya kuwa wewe unahisi njaa
Kiukweli walio single sio kuwa wanapenda bali hutokea kwa sababu ambazo ziko nje ya uwezo wao na wanakuwa wanajifariji katika kukubali matokeo,pia kumbuka huwa wanaumia sana katika mihoyo yaoMADHARA YA KUSHINDA NJAA YANAJULIKANA HAYAHITAJI MASTERS AMA PHD KUYAJUA, HAKUNA MAHALA PALIPOSEMA KUSHINDA SINGLE MAISHANI KUNA EFFECT, MASUALA YA KUJIPIMA UNAJIPIMA WEWE KUJILINGANISHA NA NANI?? NA KWA NN?? LEAVE MARRIED OR SINGLE NI INELASTIC LIFE CHOICE.
Karibu🙏🙏🙏... Nje ya keybord Mungu anajua siwezi kusema kitu. Asante sana kwa kufurahishwa na michango yangu.
I dont think so, though it might be so depending on your lifestyle or a style u admire to be so.Kiukweli walio single sio kuwa wanapenda bali hutokea kwa sababu ambazo ziko nje ya uwezo wao na wanakuwa wanajifariji katika kukubali matokeo,pia kumbuka huwa wanaumia sana katika mihoyo yao