Sikwepeshi
Senior Member
- Jan 26, 2012
- 162
- 18
freeman mbowe alimnunua jamaa wa ccm
bila shaka unafikiria kwa kutumia masaburi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
freeman mbowe alimnunua jamaa wa ccm
Godbless Lema wa arusha Mjini,
Alitumia kauli zenye chuki za kidini na kibaguzi kuwalobby mbumbumbu
na yule wa igunga kamishana wa madini jina limenitoka
makongoro mahanga, aliiba mabox ya kura mna kujiongezea kura za kutosha.
Kicha, mbona hayo ni makosa ya kawaida sana ambayo hayapotoshi maana kwa msomaji yeyote. Kumlazimisha Mkurya au Msukuma aseme halali, kama wakisema harari unashangaa nini?unaishi tz wewe mtoa mada au? labda umekosea, ni halali na wala si harali
mwizi mkubwa anaitwa juma njwayo wa magamba jimbo la tandahimba!aligalagazwa mbaya na kijana mdogo anaitwa katani wa cuf!matokeo yalivyotangazwa nyumba yake wananchi waliipiga moto!na tangu ametangazwa jimboni kafika mara moja tu tena kulikuwa na ziara ya jk akiogopa kichapo!!
Steven wasira,bwana usingizi wa bunda
Shinyanga mjini,steven maselle
Mkuu ngoja nikusaidie wale wasiomfahamu wamjue kuwa ni yupi unayemzungumzia:
Steven wasira,bwana usingizi wa bunda
Godbless Lema wa arusha Mjini,
Alitumia kauli zenye chuki za kidini na kibaguzi kuwalobby mbumbumbu
Huyu ameingizwa katka vitabu vya rekodi ya dunia The guiness book, eti alishinda kwa tofauti ya kura 1!! mama yangu hawa watu ni balaa.Shinyanga mjini,steven maselle