Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Anne makinda
unaishi tz wewe mtoa mada au? labda umekosea, ni halali na wala si harali
Yule anaitwa masele muuza tigo! Aliyemuondoa shelembikuna yule wa shinyanga mjini jina limenitoka,stephen .....
Nashindwa kuwaelewa baadhi ya wana JF, kwa nini hawawezi kuandika kiswahili fasaha na sanifu au ndio wale waliotoka shule za kata?
HAWAFAI HATA KUWA WAHUDUMU WA OFISI
Pinda, January na wabunge wote waliochaguliwa na wananchi wanaoitwa 'kupita bila kupingwa'.
makongoro mahanga, aliiba mabox ya kura na kujiongezea kura za kutosha.
Mizengo Pinda, January Makamba na wabunge wenzao wote "waliopita bila kupingwa". Wabunge hawa hawajaainishwa katika katiba. Hawakuchaguliwa na wananchi, hawakuteuliwa na rais, si wabunge wa viti maalum wala hawana namna yoyote waliyotajwa kikatiba.
Mwenzao mwingine aliyejaribu mtindo huu Lawrence Masha walimshikia bango tukaona katupwa nje na kwa kweli si kipenzi cha watu kiasi hicho.
Hizi habari za "wabunge waliopita bila kupingwa" zinavunja katiba.
Anne makinda
Jumanne Abdala Maghembe - Jimbo la Mwanga. alianzia kura za maoni Waniccm waliopiga kura za maoni ni 18,000 waliomchagua ni 12,781 na leo hii baada ya mwaka mmoja kwa mujibu wa dafatri la Wanachama wa CCM lililohakikiwa juzi tarehe 18 January 2012 lina wanachama 9,000! tu