Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Mikwara tupo. Nipo form Six mwaka 2001 nilitoroka kwenye majani mapana. Jamaa akaniona usiku huo na kuniambia wewe ni mwanafunzi. Nikamkatalia. Hahaaaa kesho asubuhi kaja Assemble mi sikwenda akanikosa. Akaanza nitafuta madarasani namkwepa. Baada ya wiki akanikuta Assembly pale. Akaniita mbele nikamkatalia. Akaapa kama sio mimi aliyenikuta Majani Mapana usiku alafu namkatalia siku akinikuta tena atanivunja. Nikacheka. Hahaaaa akanipeleka kwa Headmaster kuwa nimemdharau na kumkataa kuwa sio mimi alinikuta majani mapana wakati ana uhakika kuwa ni mimi.
Jamaa alikuwa anazingua kinoma,nimeenda kuchukua Cheti changu cha form six,ananiambia nadaiwa na sidaiwi,nikampoza buku 5 akatulia.
 
Mwalimu NESTORY a.k.a sura mbaya na misemo yake maarufu kwaata amatwe au kwaata empambo miaka hiyooo pale zamzam shule ya msingi-bukoba mjini
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Mzee Kaishozi Dodoma Sec, enzi zake alitisha Dodoma yote.
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
MchwaMpaka - Azania Boys
Fuvu - Azania Boys
Komba - Kolila
Bwenge - Jitegemee
 
Kuna mwalimu aliitwa Limota,Shambalai high School,2013
Waliokuwepo pale watakua wanamkubuka vyema
 
Bila kumsahau Mwl. Antoni Magambo 1990's -Headmaster Kwiro Sec, baadae nasikia alihamia Pugu Sec. alikuwa Mwamba kwelikweli.
 
Kuna Dudu Tosamaganga
Hata Umbwe Secondary alikuwepo ticha anaitwa Malya, a.k.a "Dudu" au "Lobilo" alikuwa ni balaa sana, akikudaka outdoor au Kombo huna shule. Mwingine Protas Swai au tulimwita "Protii" nae ilikuwa habari nyingine.

Kuna siku Protii alinidaka Moshi Town sina uniform wala get pass, nilipigwa "paa" ya wiki tatu na nilivorudi nikapewa na kisiki, sitaki kukumbuka.
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Wa Ilboru ni Lusujaki Olengavuji a.k.a Chief (R.I.P)
 
Back
Top Bottom