balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,474
- 12,609
Nasikia Kuna wanafunzi wake walikuwa wanamtafuna.Mmh..nlikua simuelewag kwakwel yule kaka..alikuaga class ticha wetu alitupelekeshaga nae..
Nasikia Kuna wanafunzi wake walikuwa wanamtafuna.Mmh..nlikua simuelewag kwakwel yule kaka..alikuaga class ticha wetu alitupelekeshaga nae..
Hivi ninyi mnaokuwa mnapinga kila hoja inayowekwa mezani, hivi mnakuwanga mmetokea mkoa upi? Kila kitu ni Hapana. Dah!Hakuna ukweli hapa, sidhani kama umefanya Research juu ya hili.
Yupo MoshiAnaishi wapi tukamsabahi?
Jamaa alikuwa anazingua kinoma,nimeenda kuchukua Cheti changu cha form six,ananiambia nadaiwa na sidaiwi,nikampoza buku 5 akatulia.Mikwara tupo. Nipo form Six mwaka 2001 nilitoroka kwenye majani mapana. Jamaa akaniona usiku huo na kuniambia wewe ni mwanafunzi. Nikamkatalia. Hahaaaa kesho asubuhi kaja Assemble mi sikwenda akanikosa. Akaanza nitafuta madarasani namkwepa. Baada ya wiki akanikuta Assembly pale. Akaniita mbele nikamkatalia. Akaapa kama sio mimi aliyenikuta Majani Mapana usiku alafu namkatalia siku akinikuta tena atanivunja. Nikacheka. Hahaaaa akanipeleka kwa Headmaster kuwa nimemdharau na kumkataa kuwa sio mimi alinikuta majani mapana wakati ana uhakika kuwa ni mimi.
Nasikia bado yupo!Mwalimu asiye na somo maalum
Long live galanos.
Penda watoto
Mzee Kaishozi Dodoma Sec, enzi zake alitisha Dodoma yote.Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Hahahaha sidhani. Aisee miaka mingi kumbuka it's ten years nowNasikia bado yupo!
Napinga kwa kuwa nina uhakika wa hicho kitu, nimekutana na Walimu wa aina hiyo kadha wa kadha lakini hawakuwa na sifa hizo!Hivi ninyi mnaokuwa mnapinga kila hoja inayowekwa mezani, hivi mnakuwanga mmetokea mkoa upi? Kila kitu ni Hapana. Dah!
MchwaMpaka - Azania BoysNimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Yeah labda amestaafu, inawezekana piaHahahaha sidhani. Aisee miaka mingi kumbuka it's ten years now
Hata Umbwe Secondary alikuwepo ticha anaitwa Malya, a.k.a "Dudu" au "Lobilo" alikuwa ni balaa sana, akikudaka outdoor au Kombo huna shule. Mwingine Protas Swai au tulimwita "Protii" nae ilikuwa habari nyingine.Kuna Dudu Tosamaganga
Wa Ilboru ni Lusujaki Olengavuji a.k.a Chief (R.I.P)Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
😀😀 kweli mkuu. Hilo jina Chief nimelikumbukaWa Ilboru ni Lusujaki Olengavuji a.k.a Chief (R.I.P)