Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
Mkuu kwanza kupata mwandiko ulinyooka sasa hivi ni shida, watu wameharibiwa na smart phones. Tulijitahidi kuwa mwandiko wa kuridhisha kwasababu barua ilikuwa njia kuu ya mawasiliano. Hii ndiyo sababu yule mwana mama aliendakika vitabu vya Harry Porter alipata umaarufu na sifa nyingi kwa kurudisha vijana kwenye tabia ya kupenda kusoma. Watoto wa siku hizi wanaangalia tamthilia na kuchezea video games.Mkuu hivi kwa kizazi chetu vijana unaona kuna dalili za kuendeleza uandishi kweli au ndio hivo tena tutaendelea kusoma kazi za wazee wetu.