Tujikumbushe vitabu vya zamani

Tujikumbushe vitabu vya zamani

Mnamkumbuka huyu bwana?
 

Attachments

  • upload_2017-3-11_5-2-30.jpeg
    upload_2017-3-11_5-2-30.jpeg
    11.2 KB · Views: 84
Simu ya Kifo- Katalambula
Mzimu wa Watu wa Kale- Mohamed
Utu Bora Mkulima-
Aliyeonja Pepo-
Pepo ya Mabwege- H. Mwakyembe
Mabepari wa Venisi-
Kiu- Mohamed
Barua Ndefu Kama Hii-
Tendehogo-
Hawala ya Fedha-
Wasifu wa Siti Binti Said-
Lina Ubani-Penina Mlama
Nguzo Mama-
Njozi Iliyopotea- Mugogo
Nyota ya Rehema-
Usiku Utakapokwisha- E Kezirahabi
Fungate ya Uhuru- M. Seif Khatibu
Kuli- Shaffi A. Shaffi
Kasri ya Mwinyi Fuad- S. A. Shaffi
Kikomo- E. Musiba
Gamba la Nyoka-
Mashetani-






Tafakari...!!
 
Kufa na Kupona, Kikosi cha kisasi, Njama, Abunuwasi, Mashimo ya mfalme Suleimani, Allan Quatermain, Sindbad Baharia. Rosa Mistika nilikisoma pia. Vingi nimevisahau
Allan Quatermain alikuwa akijulikana pia kwa jina la Makumazani
 
Jamaa hodari kisiwani,
koti jekundu.
Pinokyo.
Sindbad baharia,
adili na nduguze,
mfalme kima
sanda ya jambazi
sifi mara mbili
bado mmoja
pili pilipili
simu ya kifo
operation vipusa.
Jitu kumbuka
akuanzae mmalize,
usiku wa balaa
maajabu ya mlima kolelo
 
Nimebahatika kusoma Rosa mistika mpaka sasa ninacho,kuli-shafii,makuwadi wa soko huria Chachage s Chachage,pete,nataka iwe siri,adili na nduguze,joka la mdimu,hadithi za Esopo, Robinson Cruso,Dar es Salaam usiku,Zawadi ya ushindi nk.
 
Rosa Mistika ni cha E. Kezilahabi. Ambaye pia alitunga kitabu maarufu sana cha "Dunia Uwanja wa Fujo"

My Life with a Criminal kiliandikwa na mwanadada 'Millie' kikiwa ni muendelezo wa hadithi iliyokuwa kwenye kitabu cha 'My life in Crime' cha John Kiriamiti, kisa cha kweli kuhusu huyo mwizi wa benki Nairobi
Asante sana mkuu umefafanua vizuri nilichanganya kidogo.
 
Nimebahatika kusoma Rosa mistika mpaka sasa ninacho,kuli-shafii,makuwadi wa soko huria Chachage s Chachage,pete,nataka iwe siri,adili na nduguze,joka la mdimu,hadithi za Esopo, Robinson Cruso,Dar es Salaam usiku,Zawadi ya ushindi nk.
Kitabu cha Kuli nilikisoma na ndiyo nilifahamu maisha waliyopitia makuli, wengi walipata matatizo ya mgongo kwa kubeba vitu vizito, jioni wake zao waliwakanda kwa mafuta ya karafuu.
 
Duuh kitambo sana hivi haya bado yanachapishwa kweli?
Ninadhani wameacha kuchapisha, walilalamika kuwa kuingia kwa video games kumefanya wengi kuacha kuyanunua hivyo walipata hasara.
 
Kitabu cha Kuli nilikisoma na ndiyo nilifahamu maisha waliyopitia makuli, wengi walipata matatizo ya mgongo kwa kubeba vitu vizito, jioni wake zao waliwakanda kwa mafuta ya karafuu.
Mkuu hivi kwa kizazi chetu vijana unaona kuna dalili za kuendeleza uandishi kweli au ndio hivo tena tutaendelea kusoma kazi za wazee wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom