kommenta ya 2010 afande kifimbo unakuja ku i like leo?alfu lela ulela elfu mia na moja
amina anakula wali kwa sindano
man umenirudisha,bali sana
Cha Harrison Mwakyembe simo! Duka lipo IPS Building karibu na Askari Monument, ukifika utaliona Ben and Company Ltd, wanavitabu vingi sana na wanauza jumla pia!
nilisoma kitabu nikiwa kidato cha pili so ni ngumu kukumbuka r and l, by the way kwetu sisi hatunaga hizo, karibu kwetu unywe mavele..(maziwa) si ya hawa ngombe wenu wanaokula chipsi mayai then wanakamuliwa, ni pure milk , karibu.Ni Agoro Anduru.
Ndiyo ndugu yangu sitaki kesi kabisaAhsante sana mkuu...!!
Hilo neno simo ndiyo sijaelewa maana yake au unamaanisha HUTAKI KESI...!!??
Ndiyo ndugu yangu sitaki kesi kabisa
kikosi cha kisasi, Dunia uwanja wa fujo, njama,kufa na kupona. vyote vya ERISTABLAS ELVIS MUSIBA
Kazi kweli kweli! Huwa naamini sana katika amani na upendoHaaaaaaaa haaaaaa haaaaaaa...!! Usiogope mkuu, hamna kesi hapo.
Dr Harrison Mwakyembe ni mwandishi wa riwaya pia, aliwahi andika riwaya inayoitwa PEPO YA MABWEGE miaka ya 1980...ilikuwa ni riwaya nzuri mno kwa muktadha ule...!! Kwa hiyo huitaji kuogopa kesi kwa sababu ni ukweli mtupu. Riwaya hiyo niliisoma na baadhi ya wahusika wake ni Mwapaker, Josina Simango aliyekataa kuolewa na mtoto wa Mkurugenzi Mwapaker...!! Natamani niisome tena nione kama Mwakyembe wa PEPO YA MABWEGE ni Mwakyembe huyu huyu wa leo au AMEIKANA RIWAYA YAKE KAMA MOHAMED SEIF KHATIBU ALIVYOIKANA MALENGA YAKE ILIYOITWA FUNGATE YA UHURU...!!
Tafakari...!!
Kazi kweli kweli! Huwa naamini sana katika amani na upendo
Amen Ra!Umechagua fungu jema, kwani meandikwa:
Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana atakayemuona Bwana asipokuwa nao. Ebrania 12:14
Tena imeandikwa: Basi tusizidi kuhukumiana, bali afadhari toeni hukumu hii, mtu asitie kitu cha kumkwaza ndugu au cha kumwangusha. Rumi 14:13
Tafakari...!!
By John kiriamiti,hahahaha long time!Natumaini mu-wazima
Ni wangapi wanakumbuka kitabu cha Rosa Mistika kilichoandikwa na Kezilahabi na My Life in Crime na mwendelezo wake My Life with a Criminal hiki kilihusu jambazi aliyebobea katika wizi wa Mabank huko Nairobi.
Kuna Mtangazaji mmoja zama hizo,kama sijakosea wa RTD anaitwa Abdul Ngarawa. Alikuwa ni mtangazaji wa kipindi cha "Mazungumzo baada ya habari"kila baada ya taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Kipindi kilitoa mafundisho mazuri sana ya namna ya kuwa mzalendo wa nchi yako. Alitumia hadithi za vitabu mbalimbali mf."Tujenge nchi yetu" n.k. Natamani kipindi hicho kirudi japo muda ni ukuta!Wajumbe, nani alisoma vitabu vile vya enzi za Kibanga Ampinga Mkoloni, Someni kwa Furaha, Nunda Mla Watu, Uza Ghali Usiuze Rahisi, Alfu Lela Ulela, Bulicheka.
Duh!! nakumbuka mbali sana.
Nakumbuka moja ya hizo hadithi alizokuwa akizitoa vitabuni ni ile ya "Kautipe na Utumbo wa Kuku". Nyingine ni ile ya Kimbwenelehi (Umenionea wapi) na Masurupwete (kutoka kitabu cha Mtu ni Utu cha George A. Mhina?)Kuna Mtangazaji mmoja zama hizo,kama sijakosea wa RTD anaitwa Abdul Ngarawa. Alikuwa ni mtangazaji wa kipindi cha "Mazungumzo baada ya habari"kila baada ya taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Kipindi kilitoa mafundisho mazuri sana ya namna ya kuwa mzalendo wa nchi yako. Alitumia hadithi za vitabu mbalimbali mf."Tujenge nchi yetu" n.k. Natamani kipindi hicho kirudi japo muda ni ukuta!