Tujikumbushe vitabu vya zamani

Tujikumbushe vitabu vya zamani

484074_402605206464930_1936837981_n.jpg
484074_402605206464930_1936837981_n.jpg
Someni.jpg
484074_402605206464930_1936837981_n.jpg
Someni.jpg
DSC_0619.JPG
 
Asante na heri ya mwaka mpya...

Ukiendelea kunisusa hivi sitacheza tena na wewe...

Salam kwa hommie wangu tafazali..
Hahaha asante babu heri na kwako pia. Naahidi mwaka huu najirekebisha sitakususa tena, hommie anakusalimu pia anakuuliza uliwahi kusoma kitabu cha usiku wa giza? Kisasi? Mfalme Ju.ha? Shida?
Amesema kama hukuvisoma afanye makeke uvisome.😀
 
Hahaha asante babu heri na kwako pia. Naahidi mwaka huu najirekebisha sitakususa tena, hommie anakusalimu pia anakuuliza uliwahi kusoma kitabu cha usiku wa giza? Kisasi? Mfalme ****? Shida?
Amesema kama hukuvisoma afanye makeke uvisome.😀
Usiku wa giza sawa... hicho cha manyotanyota mbona kinanitisha?? Hii ni kwaresma bhana.
 


Huyu mama alikuwa na affair na mmoja wa wafanyakazi wa mume wake, mume wake alikuwa tajiri sana na alimwambia mfanyakazi kama ataweza kumuua mume wake watakula bata pamoja. Kabla ya mfanyakazi kuua ndiyo anagundua yeye pia anatumika tu mwanamke alikua na hesabu nyingine kabisa.
 
Kulikuwa na kitabu kilichokuwa na hadithi ya kijana masikini na kipofu aliyekuwa akishindana na wengine kumwoa binti wa mfalme. Huyo kijana kipofu alimwimbia binti wa mfalme maneno haya huku akipiga zeze lake: "Nwee nweee nwee napiga hodi kwa Nyangarikali....napiga hodi...napiga hodi kwa Nyangarikali..." Mwisho wa siku ndiye alifanikiwa kumwoa binti huyo wa mfalme.
 
Nilisoma kitabu cha Mashimo ya mfalme Suleiman( King Solomon's mines) kuna akina Umbopa, bibi Gagula, Makumazan, pia kitabu cha Alfu lela ulela au siku elfu na moja na kitabu cha " Hekaya za Abunuasi ambacho mpaka hivi sasa ninacho !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom