Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

Madhila ya vita ya Iran na Marekani/Israel yameanza kuonekana tangu mwanzo mwa mwezi huu kwenye usafiri wa ndege

Baada ya airport za Qatar na Dubai kufungwa tickets za ndege zilipanda maradufu.. Imagine ticket ya ndege kutoka China kurudi Bongo ilipanda kutoka 2M mpaka 10M

Hii vita haina dalili na kumalizika leo wala kesho na ukosefu wa mafuta umeshaanza kushika kasi duniani .. Leo pipa moja la mafuta ghafi limefikia dola 175.

Mataifa mengi yameshaanza kutoa tahadhari kwa wananchi wake kupunguza matumizi ya nishati (mafuta na gesi) sisi bado.. Lakini hatuko mbali

Lockdown ijayo si ya maradhi na barakoa na kujivukiza tena! Bali ni lockdown ya " movement limitations" kwakuwa mafuta yatapanda bei kupitiliza na yatakuwa hayapatikani kwa urahisi

Fursa fursana! Lockdown ya mafuta wakati itakapokuwa janga kwa wengine, kwingineko itakuwa ni neema na fursa ya kupiga ndefu.

Jiandae ufaidike ama ujipange lockdown yaja!
Weka source ya bei ya mafuta pipa Moja likiwa $175,
Acha kuokoteza habari kaka
 
Ni vita vya kipuuzi ndio maana hata wenzao NATO wamekaa pembeni hawapo involved direct. Hakukuwa na sababu ya kuanzisha hiyo vita maana haina faida yoyote hakuna mwenye hatimiliki ya hii dunia kwamba huyo ndio ana haki ya hiki na kile.. okay, Irana hajawai anza mshambulia mtu kabla hajaguswa
NATO ni paper Tiger bila USA. Mbona na wao wanalia lia mafuta kupanda bei? Maana madhara na wao yanawapata direct..
 
Ni vita vya kipuuzi ndio maana hata wenzao NATO wamekaa pembeni hawapo involved direct. Hakukuwa na sababu ya kuanzisha hiyo vita maana haina faida yoyote hakuna mwenye hatimiliki ya hii dunia kwamba huyo ndio ana haki ya hiki na kile.. okay, Irana hajawai anza mshambulia mtu kabla hajaguswa
Hapo ndipo unazidi kujichanganya. Iran sera yake ni kuifuta Israel. Kwa upande wako, Israel akae kimya akisubiri hatma yake au? Pili 07/10 ilianzishwa na Hamas na mfadhili wa haya Makundi yote ni Iran.

Huwezi kuita hivi vita ni vya kipuuzi, vina umuhimu wake kwa upande wa Israel na Marekani kama mlinzi wa Israel. Sema aidha walikuwa wanatest Iran kwa kuingiza mguu katika dimbwi ili kukadria kina au taarifa walizokuwa nazo si za uhakika.

La kufanya ni kukubali kuwa Iran wameishindwa, warudi katika drawing table. Ila nina uhakika watarudi tena siku za usoni.
 
Hapo ndipo unazidi kujichanganya. Iran sera yake ni kuifuta Israel. Kwa upande wako, Israel akae kimya akisubiri hatma yake au? Pili 07/10 ilianzishwa na Hamas na mfadhili wa haya Makundi yote ni Iran.

Huwezi kuita hivi vita ni vya kipuuzi, vina umuhimu wake kwa upande wa Israel na Marekani kama mlinzi wa Israel. Sema aidha walikuwa wanatest Iran kwa kuingiza mguu katika dimbwi ili kukadria kina au taarifa walizokuwa nazo si za uhakika.

La kufanya ni kukubali kuwa Iran wameishindwa, warudi katika drawing table. Ila nina uhakika watarudi tena siku za usoni.
achananeni na hizo propaganda uchwara, hakuna taifa la kulifuta taifa lingine hui dunia ya leo. Marekani ni mshenzi amekuwa akisababisha matatizo mala kadhaa katika nchi nyingi.

Kuishambulia kwao Iran, sasa hivi mbona hoja zao zilikuwa wazi, na hatukuona hii hoja yako ya kuifuta Israel ?
 
achananeni na hizo propaganda uchwara, hakuna taifa la kulifuta taifa lingine hui dunia ya leo. Marekani ni mshenzi amekuwa akisababisha matatizo mala kadhaa katika nchi nyingi.

Kuishambulia kwao Iran, sasa hivi mbona hoja zao zilikuwa wazi, na hatukuona hii hoja yako ya kuifuta Israel ?
Katika majadiliano busara ni kitu cha muhimu. Matusi si hulka njema katika majadiliano. Aidha katika majadiliano si vyema kufikiri mawazo yako au mtizamo wako upo sahihi siku zote. Wengine hapa JF ni wanafunzi na tunajifunza kwa kubadilishana mawazo. Si washindani
 
Katika majadiliano busara ni kitu cha muhimu. Matusi si hulka njema katika majadiliano. Aidha katika majadiliano si vyema kufikiri mawazo yako au mtizamo wako upo sahihi siku zote. Wengine hapa JF ni wanafunzi na tunajifunza kwa kubadilishana mawazo. Si washindani
Poa mkuu, nimekuelewa . Sorry
 
kuua waue wao, ila mwingine akiwanyoosha kidogo tu wanaanza toa milio.. Jana Nyau anaomba Duania iungane mshambulia Iran, ( nilijua jamaa ana akili kumbe nae kajaza mavu kichwani )
Huyo kitambo tu nilimuona ana akili za kiCCM, kuna siku mwaka jana alikuwa anawaomba raia wa iran 🇮🇷 waipindue serikali yao, eti wao ndio wanawatqkia mema. 😂🤣
 
nashangaa mbona jirani yangu kanunua magunia manne ya mkaa wakati hawafanyi biashara ya kuuza mkaa,,, kumbe duniani mambo ndo yapo hivyo,,,

nimelia sana mpka kwikwi
 
Hii vita iran ipigwe chapchap mambo yasiwe magumu, iran isitaabishe dunia kiasi hiki, ipigwe mande kumaliza vita haraka mambo yasiwe magumu
 
nashangaa mbona jirani yangu kanunua magunia manne ya mkaa wakati hawafanyi biashara ya kuuza mkaa,,, kumbe duniani mambo ndo yapo hivyo,,,

nimelia sana mpka kwikwi
nimelia sana mpka kwikwi 😂😂😂
 
nashangaa mbona jirani yangu kanunua magunia manne ya mkaa wakati hawafanyi biashara ya kuuza mkaa,,, kumbe duniani mambo ndo yapo hivyo,,,

nimelia sana mpka kwikwi
8b1c4727-6ff8-4364-897b-644bc2789966.jpeg
 
Back
Top Bottom