Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

Ubaya ni kudhani kuwa haya yanayotokea hayakujulikana hapo mwanzo.

Hao USA, israel na washirika wao kabla hata ya hii vita walishapiga hesabu zao na kutambua effects zitakazotokea baada ya ushenzi kwa kuvamia taifa huru.

Huwa nasema na narudia tena, duniani hakuna tukio la bahati mbaya, baada ya hili janga kuna watu(insiders) wamefaidika na wanaendelea kufaidika na hii vita kupitia mauzo ya siraha, mauzo ya mafuta kwa bei kubwa zaidi ya waliyonunua na kuhifadhi wakisubiri (tukio la kupangwa) kutokea ili wakamilishe biashara ovu.

Si hilo tu, fuatilieni hata huyo Trump mwenyewe ni miongoni mwa wanufaika wakubwa wa huu mgogoro ambao unaumiza maelfu ya raia.
Kwa wapiga kura na raia wa wakawaida wa USA ni kilio kwao mabilioni ya kodi kutumika vibaya wakati huo kwa wachache wanao run biashara za siraha, mauzo ya mafuta kwao ni faida kubwa.

Kila mgogoro unaohusisha hawa waovu wa magharibi ujuwe kuna fursa kwa wachache, mabilion ya pesa zilizotumika kurun operation nzima yamerudi kwa wafanyabiashara wa hizo siraha na makampuni ya kimarekani, maana siraha zote zilizotumika ni made in USA huku walioshiriki hizo operation wakipata mabonus ambayo kama wasingeshiriki wangeyakosa.

Ni sawa na kusema Tanzania iivamie Rwanda, bajeti ya huu uvamizi itengwe ikihusisha manunuzi ya siraha za wabongo hapa hapa, kuwalipa wabongo wa hapa hapa, huku vita hiyo ikisimamisha baadhi ya mipaka ya usafirishwaji wa bidhaa za Rwanda na kuwafanya Baadhi ya wabongo waliokuwa na bidhaa hizo zinazosafirishwa na Rwanda kuziuza kwa bei kubwa baada ya mfumuko wa bei kupanda.

Faida inarudi kwa wabongo wachache, hasara kwa wabongo wengi walipa kodi na raia wa Rwanda na baadhi ya majirani, hivi ndivyo USA na washenzi wenzake hupigana vita na kushiriki migogoro mingi duniani inayoharibu chumi za wengi na kufaidisha raia wao wachache.

THIS IS HOW THE CAPITALISM& IMPERIALISM WORK AGAINST HUMANITY
 
Ubaya ni kudhani kuwa haya yanayotokea hayakujulikana hapo mwanzo.

Hao USA, israel na washirika wao kabla hata ya hii vita walishapiga hesabu zao na kutambua effects zitakazotokea baada ya ushenzi kwa kuvamia taifa huru.

Huwa nasema na narudia tena, duniani hakuna tukio la bahati mbaya, baada ya hili janga kuna watu(insiders) wamefaidika na wanaendelea kufaidika na hii vita kupitia mauzo ya siraha, mauzo ya mafuta kwa bei kubwa zaidi ya waliyonunua na kuhifadhi wakisubiri (tukio la kupangwa) kutokea ili wakamilishe biashara ovu.

Si hilo tu, fuatilieni hata huyo Trump mwenyewe ni miongoni mwa wanufaika wakubwa wa huu mgogoro ambao unaumiza maelfu ya raia.
Kwa wapiga kura na raia wa wakawaida wa USA ni kilio kwao mabilioni ya kodi kutumika vibaya wakati huo kwa wachache wanao run biashara za siraha, mauzo ya mafuta kwao ni faida kubwa.

Kila mgogoro unaohusisha hawa waovu wa magharibi ujuwe kuna fursa kwa wachache, mabilion ya pesa zilizotumika kurun operation nzima yamerudi kwa wafanyabiashara wa hizo siraha na makampuni ya kimarekani, maana siraha zote zilizotumika ni made in USA huku walioshiriki hizo operation wakipata mabonus ambayo kama wasingeshiriki wangeyakosa.

Ni sawa na kusema Tanzania iivamie Rwanda, bajeti ya huu uvamizi itengwe ikihusisha manunuzi ya siraha za wabongo hapa hapa, kuwalipa wabongo wa hapa hapa, huku vita hiyo ikisimamisha baadhi ya mipaka ya usafirishwaji wa bidhaa za Rwanda na kuwafanya Baadhi ya wabongo waliokuwa na bidhaa hizo zinazosafirishwa na Rwanda kuziuza kwa bei kubwa baada ya mfumuko wa bei kupanda.

Faida inarudi kwa wabongo wachache, hasara kwa wabongo wengi walipa kodi na raia wa Rwanda na baadhi ya majirani, hivi ndivyo USA na washenzi wenzake hupigana vita na kushiriki migogoro mingi duniani inayoharibu chumi za wengi na kufaidisha raia wao wachache.

THIS IS HOW THE CAPITALISM& IMPERIALISM WORK AGAINST HUMANITY
Kuna jamaa mmoja FB anasema tunachezewa michezo na Jews bola kujua
Wakati tunashangilia na kubishana kifo cha Netanyahu kuna Jews wanapiga nadili yao kwenye contract mbalimbali kipindi hiki cha vita na baada ya vita
Contract za kuuza silaha
Contract za kusambaza silaha
Contract za kusambaza mahitaji mbalimbali kipindi hiki cha vita
Contract za mabilion za kujenga upya miundombinu iliyoharibiwa na vita nknk

Wakati huo tukiwa tumebaki na athari mbaya za vita wenzetu watakuwa wanaogolea kwenye mabilion
Kila uamuzi kwenye hii vita ni calculated!
 
Ulinzi wa Strait of Houmz is Mission impossible. Trump knows it,the west knows it. No military solution.Way forward is diplomacy.
 
Trump na Nyau wakiendeza mambo yao ya kipuuzi wese litaondoka kabisa hata hilo la 4000 litakuwa linapatikana kwa kulenga, jamaa wameharibu uchumi wa dunia kwa kuingia kwenye vita ambayo haina kichwa wala miguu, ila mradi wao wamesababisha maafa
Mnakosea mnaposema haina kichwa wala miguu. Jiweke katika viatu vyao, utagundua kuwa walikuwa sahahi ila kwa wakati usiyo sahihi
 
Subiri mtasogeza matundu ya mikanda

Kufungwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz: Njia hii muhimu ya bahari, inayopitisha takriban 20% ya mafuta yote duniani, imekumbwa na usumbufu mkubwa na kusababisha meli nyingi za mafuta kukwama.

Kupanda kwa Bei:
Tangu kuanza kwa mashambulizi tarehe 28 Februari 2026, bei ya mafuta ghafi (Brent) imepanda kutoka takriban $70 hadi zaidi ya $100 kwa pipa, huku wakati mwingine ikigusa hadi $170.

Uharibifu wa Miundombinu:
Mashambulizi ya anga yamelenga vituo vya kusafishia mafuta na nishati nchini Iran na nchi jirani, jambo linalopunguza uwezo wa uzalishaji duniani.

Hatua za Kimataifa:
Ili kudhibiti hali hiyo, Marekani ilitoa ruhusa ya muda ya siku 30 (Waiver) mnamo Machi 20 kuruhusu mauzo ya mafuta ya Iran yaliyokuwa tayari baharini ili kuongeza kiasi cha mafuta sokoni.

Kwa Tanzania, kama nchi inayoagiza mafuta kutoka nje, mabadiliko haya ya bei na usambazaji katika Mashariki ya Kati yanaathiri moja kwa moja gharama za uagizaji, jambo ambalo linaweza kusababisha kupanda kwa bei za ndani au foleni kwenye vituo vya mafuta ikiwa usambazaji utachelewa.
Ila Mshana, umeandika vizuri Ila hiyo $170 sijui umeipata wapi!, labda ndio maono maana pipa bado halijafika $120
 
Hebu tuyawahi Mafuta ya Sudan Kusini.....na yale ya Uganda!
Mafuta Ya Sudani au Uganda unayoyaskia sio haya tunayotumia.
Hayo unayoyaskia kutoka hizo nchi ni Mafuta mazito Ambayo huwa wanayachimba ila wanayasafirisha nje za nchi yakasafishwe(Mfano yanayotoka Uganda ndo maana wanajenga bomba litakalo fika Bandarini(Tanga) alafu yakasafirishwa nchi ambazo wana viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta.

Adhari tutakayo ipata kutokana na vita hivi ni kubwa mno, kwasababu mafuta tunayoagizisha sisi huwa yanatoka hizo hizo nchi ambazo zimekumbwa na vita
Nimeona mtu hapo kasema kama ni asilimia 20 kwahiyo sii kubwa

Hizo asilimia 20 walizosema kuwa zinapita kwenye huo lango zimelengwa kidunia ila sisi ni asilimia zaidi ya 90 kwasababu ndo sehemu pekee tunapo agiza mafuta

Na sio mafuta tuu hata Gesi za kupikia nyumbani hutokaa huko huko. India afhari zake zimeshafikia tayari na ni kubwa haswa.

Kipindi kama hichi ndo muda wa Kupunguza Gharama za kufungiwa gesi kwenye Magari ili watu waanze kutumia kabla maumivu hajaanza mwezi wa 4 na wa 5.
 
Mnakosea mnaposema haina kichwa wala miguu. Jiweke katika viatu vyao, utagundua kuwa walikuwa sahahi ila kwa wakati usiyo sahihi
Ni vita vya kipuuzi ndio maana hata wenzao NATO wamekaa pembeni hawapo involved direct. Hakukuwa na sababu ya kuanzisha hiyo vita maana haina faida yoyote hakuna mwenye hatimiliki ya hii dunia kwamba huyo ndio ana haki ya hiki na kile.. okay, Irana hajawai anza mshambulia mtu kabla hajaguswa
 
Back
Top Bottom